Ni muda wa kudondosha hit nyingine- Diamond



Mkali wa Bongo Fleva anaeendelea kuteka vichwa vya habari ndani na nje ya nchi , Zuchu , ameonesha dalili kuwa Muda wowote kuanzia hivi sasa , atawadondoshea Mashabiki zake ngoma mpya .


Kupitia ukurasa wake wa Instagram , imesomeka “comment “ ya CEO wa WCB Diamond Platnumz ikiesema kuwa sasa ni Muda wa Malkia huyo kuachia Kazi mpya .


Kupitia ujumbe huo , SIMBA Diamond Platnumz ameandika “It’s Time to Drop another Hit Zulu” , akimaanisha kuwa sasa ni Muda muafaka wa kudondosha HIT mpya Mjini .


NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

Jokate Aapa Kupambana na Wazazi, Walezi Wasiowapeleka Watoto Shule

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania