Posts

Showing posts from September 2, 2018

Waraka wa Hamisa Mobetto wagusa Hisia za wengi

Image
NancyTheDreamtz Mwanamitindo Hamisa Mobetto ameelezea kile anachokabiliana nacho kwenye maisha yake kwa sasa. Hii ni baada ya maneno kuwa mengi mtandaoni kuhusu yeye, sasa ameamua kuvunja ukimya kwa kuandika waraka mrefu kiasi.  ==>>Hapa chini tumekuwekea kile alichoandika Hamisa kupitia ukurasa wake wa Instagram; "Pengine hufahamu alipotoka Hamisa Mobetto... Wacha nikufahamishe, nilianza kutambulika rasmi kwenye tasnia ya urembo mwaka 2010 baada ya kuibuka mshindi wa Miss XXL After School Bash. Njia ya mafanikio ilifunguka hapo na hatimae nilishiriki Miss Tanzania na Also Miss New World Tanzania Na Kua first Runner Up 2012. "Lakini Pia Nilifanikiwa Kushriki Miss UniAfrica na kuingia Top Ten... Safari ikaendelea na kwa kuwa urembo ni kipande cha sanaa niliingia kwa pia kwenye Bongo Movie na kucheza filamu kadhaa na huku pia nikiwa Video Vixen kwa baadhi ya nyimbo za Bongo Fleva. "Nisieleweke vibaya kwa hili, kitanda hakizai haramu...

Ndalichako Ataja Sababu za Wanafunzi Kukacha Hesabu

Image
NancyTheDreamtz WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, amesema kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo asilimia 80 ya wanafunzi wanaohitimu kidato cha nne, wamekuwa wakifeli somo la hesabu kutokana na sababu mbalimbali. Ametaja moja ya sababu kuwa ni walimu kutokuwa na mbinu za kuwavutia wanafunzi kupenda somo hilo na kuwavunja moyo pale wanapokosea. Ndalichako aliyasema hayo juzi wakati akifungua mkutano wa walimu wa masomo ya hesabu kutoka nchi 15 za Afrika, Marekani na Uingereza, ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Aga Khan kwa lengo la kujadili mbinu za kufundisha somo hilo. Profesa Ndalichako alisema sababu za wanafunzi kufeli somo hilo ni kutokana na walimu kutokuwa wabunifu wa mbinu mbalimbali za kuwafundishia hali inayosababisha kulichukia. Alisema kutokana na wanafunzi wengi kufeli, kumekuwa na uhaba mkubwa wa walimu wa somo hilo na kusema kuwapo kwa mkutano huo kutasaidia kuongeza ari kwa walimu kuwafanya wanafunzi walipende. “Ni asilimia 20 tu ya wanafun

Kagere Atoa Siri ya Staili yake ya Kufumba Jicho

Image
NancyTheDreamtz STRAIKA mkali kwa mabao ya vichwa, Meddie Kagere ambaye mtindo wa kushangilia kwa kufunika jicho moja umewafurahisha mashabiki amesisitiza kuwa yajayo yanafurahisha.  Kagere ambaye amecheza mechi mbili za ligi kuu ametupia mabao 3 huku bao 1 akifunga dhidi ya Prisons kwa guu lake la kulia na mabao 2 akifunga kwa bichwa dhidi ya timu ya Mbeya City ambao walilala na viatu.  Akizungumza na Spoti Xtra Kagere alisema kuwa kwake mtindo wa kufumba jicho ni mtindo wa kushangilia tu na kitu kikubwa ambacho kinafanya aweze kung’ara ni ushirikiano ndani ya timu.  “Tunacheza tukiwa ni timu na kwa kufuata maelekezo ya mwalimu tunafanikiwa kupata matokeo hivyo hicho ndicho kilicho nyuma ya mafanikio yangu ambayo ni ya timu kiujumla,” anasema mchezaji huyo mzaliwa wa Uganda aliyewaacha Gor Mahia kwenye mataa.  “Kuhusu mtindo wangu wa kuziba jicho ni aina tu ya ushangiliaji haina maana yoyote na ninaipenda kwa sababu tayari mashabiki wangu wameipokea vizuri, baada ya kupata matokeo m

Cristiano Ronaldo Anasikitisha Sana, Anakwama Wapi?

Image
NancyTheDreamtz Parma 1 Juventus 2, unawaza nini unaposoma ubao wa matokeo unasoma namna hiyo? Moja kwa moja utakimbilia kuuliza Ronaldo amefunga, na jibu la hajafunga linakujia. Ni kweli bwana Mario Madzukic kama kawaida amesimamia show hii leo pamoja na Blaise Matuidi wamefunga mabao ya Juventus vs Parma na Gervinho akafunga la Parma na kumfanya Cr7 kutofunga katika mechi 3 za mwanzo Serie A. Suala la kuhuzinisha kuhusu Ronaldo ni hizi timu tatu walizokwishacheza nazo, hizi ni timu ambazo kweye makaratasi zonaonekana ni nyepesi sana. Hivi kwa mfano Chievo, msimu uliopita walimaliza nafasi saba kutoka mwisho tena walimaliza msimu wakiwa na goal difference ya mabao 23, Ronaldo hakuwafunga. Lazio, kama hujui tu nikuambie Lazio msimu uliopita katikaashindano yote walifungwa mabao 70, ni timu ambayo ina ulinzi dhaifu lakink Ronaldo hakufunga. Parma hawa hadi mwaka 2016 walikuwa Serie D huko, 2015 walikumbwa na tatizo kubwa la kipesa wakafilisika, na mwaka huu ndio wamepanda Serie A,

MASKINI..Gari ya Watalii yapata Ajali Mbaya Arusha

Image
NancyTheDreamtz Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (SACP) Ramadhani Ng’anzi, amethibitisha kutokea kwa ajali ya gari  iliyohusisha Lori na gari ya kubeba watalii. Ajali hiyo imetokea eneo la Mti mmoja Wilayani Monduli. Kamanda Ng’anzi amesema gari aina ya Land Cruiser iliyokuwa imebeba watalii imegongana uso kwa uso na Lori la mizigo takribani Kilometa 10 kutoka njia panda ya Monduli. ”Nipo eneo la ajali hapa muda huu, tunaendelea na vipimo hapa, nitawajulisha kwa undani lakini vifo vipo ila bado hatujajua ni idadi gani”, amesema. Taarifa za awali zinaeleza takribani watu watano wamefariki katika ajali hiyo. Endelea kufuatilia Udaku Special tutakujuza zaidi juu ya ajali hiyo.

Madiwani wengine wa Chadema Arusha watimkia CCM usiku

Image
NancyTheDreamtz Kimbunga cha madiwani na wabunge kuhama hasa vyama vya upinzani na kuhamia CCM kimeendelea kutimka, ambapo jana usiku madiwani wengine wawili wa jiji la Arusha walifuata mkondo. Madiwani hao walioshinda uchaguzi wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chadema, jana usiku walitangaza kujiuzulu nafasi zao na kujiunga na CCM hivyo kufanya idadi ya madiwani wa Arusha waliochukua hatua hiyo kufikia wanane. Wakizungumzia sababu za kujiuzulu, Alex Marti wa kata ya Olasitin na Amani Liwadi wa kata ya Engutoto, wamesea lengo ni kumuunga mkono Rais John Magufuli. “Nimeamua kwa ridhaa yangu mwenyewe kujiuzulu udiwani. Nimeandika barua kwa viongozi wa Chadema kueleza uamuzi wangu, kikubwa kilichofanya niamue hivi ni kazi nzuri inayofanywa na Rais John Magufuli,” alisema Marti. Liwadi pia alitoa sababu sawa na za Marti na kwamba tayari ameandika barua kwenda Chadema. Uamuzi huo wa madiwani hao unaifanya Chadema kubaki na madiwani 25, huku madiwani wa CCM wakiwa saba kutoka idadi ya madiwani

Kutoonekana’ Makontena 10 ya Makonda Mnadani Kwazua Jambo

Image
NancyTheDreamtz Kwa mara nyingine jana makontena 20 ya Paul Makonda yalikosa mnunuzi bandarini, licha ya matumaini ya awali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwa kulikuwa na dalili nzuri zaidi kuliko wiki iliyopita, huku idadi ikizua jambo. Baadhi ya watu waliokuwa wanashiriki katika mnada huo walieleza kuwa kuonekana kwa makontena 10 pekee katika siku ya mnada badala ya makontena yote 20 ni moja kati ya vitu vilivyozua wasiwasi. Akijibu kuhusu kutoonekana kwa makontena mengine 10 kwenye mnada huo ulioanza majira ya saa tatu asubuhi, afisa mwandamizi wa TRA ambaye hakutaka jina lake litajwe, alisema hilo pamoja na mambo mengine lilitokana na ufinyu wa nafasi ya eneo la mnada. “Tulifikiria pia ukweli kuwa washiriki wote wa mnada walipewa siku tatu kuyaangalia makontena yote 20 na bidhaa zilizomo, hivyo hatukuona haja ya kuyabeba tena yote 20,” The Citizen inamkariri. Aidha, suala la bei lililalamikiwa pia na baadhi ya washiriki wa mnada huo uliokuwa ukifanywa na kampuni ya Yono Auc

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Image
NancyTheDreamtz Huu kwa mujibu wa utafiti wa kabila zilizotoa wasomi wengi nchini tanzania. 1.wahaya wanapatikana mkoani kagera wakitokea bukoba na sehemu zingine za mkoa huoo 2.wagitaa wanapatikana wilaya ukerewe na musoma mjini na vijini mkoani mara 3.wachaga mkoani kilimanjaro wa wilaya ya moshi mjini,marangu,hai na sehemu zingine 4.wanyakyusaa mkoani mbeya wapo haswa wilaya ya kyela,songwe na zinginezo. 5.wakurya mkoani mara wilaya ya tarime na serengeti 6.wajaluo mkoani mara wilaya ya rorya na serengeti pia 7.wangoni wanatokea mkoa wa ruvuma 8.wapare wanatokea mkoa kilimanjaro wilaya ya same. 9.wasukuma hawa wapo mwanza na shinyanga 10.wanyamwezi hawa wanatokea mkoani tabora

Emmanuel Mbasha Amcharua Shilole, Amtaka Afanye Kazi Asitie Huruma kwa Rais Magufuli

Image
NancyTheDreamtz Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha ameamua kuwatolea uvivu watu wote maarufu wanaomuandama Rais Magufuli kwa kutaka msaada wa mali ile hali wana uwezo kifedha, akiwemo msanii wa muziki nchini Tanzania, Shilole. Mbasaha amesema kuwa Slogan ya Rais Magufuli ni ‘Hapa Kazi Tu’ huku akimshangaa msanii mkubwa kama Shilole kubitaji msaada wa ada ya kumsomesha mtoto wake ile hali anafanya kazi na ni mjasiriamali.  “Habari za mda huu . Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya watu wanaopenda kutumia vibaya huruma ya raisi wetu, haswa wasanii wa bongo movie. Jamani sera ya raisi wetu ni kila mtu afanye kazi na ndiyo maana slogan yake inasema “HAPA KAZI TU” Ukifanya kazi na kujituma kama sisi mbona maisha ni mazuri tu hapa Tanzania jamani, ila ukipenda mteremko ndiyo inaweza kuku cost 😁😁😁😁. Dada yangu Shilole, yaani juzi tu umepost bonge la jumba hapa kila mtu akafurahia na kukupongeza hadi mie nilikupongeza, japokuwa wiki moja kabla ya hapo

Kimenuka..Bobi Wine Aahidi Kulivua Nguo Jeshi la Polisi Nchini Uganda...

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki nchini Uganda na Mbunge wa jimbo la Kyadondo, Bobi Wine usiku wa kuamkia leo Jumapili Septemba 2, 2018 amewasili nchini Marekani kwa ajili ya kufanyiwa matibabu baada ya kupigwa na jeshi la polisi wiki mbili zilizopita. Akitoa ujumbe mzito baada ya kuwasili nchini Marekani, Bobi Wine ameahidi kuanika maovu yote aliyofanyiwa na jeshi la polisi ikiwemo kuteswa na kupigwa hadi kupelekea majeraha makubwa kwenye mwili wake.  “Nimewasili salama nchini Marekani kwa ajili ya matibabu maalumu kufuatia manyanyaso na kipigo kizito nilichopata nikiwa mikononi mwa jeshi la polisi. Tunawashukuru watu wote duniani waliokuwa na sisi kwa kipindi chote, naahidi mapema nitatoa taarifa rasmi kitu gani kilichonitokea tangu nikamatwe Agosti 13, 2018.“ameandika Bobi Wine kwenye ukurasa wake wa Twitter. Bobi Wine mnamo tarehe 13 mwezi uliopita, alikamatwa na jeshi la polisi nchini Uganda kwa kosa la kuchochea vurugu na kumiliki silaha kinyume na sheria, kosa ambalo baad

FRED LOWASSA “Wanaomsema Mzee wangu Nimekuja Kuwatia Adabu”

Image
NancyTheDreamtz Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Fred Lowassa ameibukia katika mkutano wa kampeni za uchaguzi Jimbo la Monduli na kuwataka aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Julius Kalanga na Isack Joseph maarufu Kadogoo, kukaa kimya kwani anawafahamu kuliko wanavyojifahamu. Akizungumza kwenye mkutano wa kumnadi Mgombea wa CHADEMA amesema, amelazimika kuwajibu vijana hao kutokana na kuendelea kumchafua Mzee Lowassa. “Kama kuwatia adabu hawa vijana niachieni mimi, ntawatia adabu ninawafahamu vizuri sana”  VIDEO: 

"Ali Kiba Alinitongoza Afu Bahili, Mimi Malaya, Natumia Kondom" - Kidoti Baby

Image
NancyTheDreamtz "Ali Kiba Alinitongoza Afu Bahili,  Mimi Ni Malaya Mdangaji Maarufu , yoyote nayekutana nae tunakubaliana akinipa pesa nasepa naye" - Kidoti Baby Msikilize Hapa Chini: