Posts

Showing posts from May 26, 2019

RAIS Magufuli Kushangiliwa kwa Nguvu Afrika Kusini Ina Maana Gani kwa Wapinzani wake??

Image
NancyTheDreamtz Marais wengi wameenda kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini 25 May 2019 , lakini mara baada ya jina la Rais wa Tanzania John Magufuli kutajwa kwamba anaingia uwanjani ,Raia wa Afrika kusini walisimama na kushangilia kwa nguvu sana. Umati mkubwa wa wananchi umelipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja wa michezo wa Loftus Versfeld jijini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuaishwa kwa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa leo Jumamosi Mei 25, 2019 Kwa Mtazamo Wa kawaida hii inaashiria Rais Magufuli Kukubalika KITAIFA NA KIMATAIFA, Kwa upande wa upinzani Utaendelea Kubeza na kukejeli Hatua Ambazo anafanya Rais Magufuli ila Kwa upande Wangu wapinzani Kufanya hivyo ni Sahihi kwao kwasababu Hauwezi Kutafuta Serikali kwa kusifia Serikali Iliyopo. Wananchi Wanatakiwa kufahamu Wapinzani wanatekeleza Majukumu Yao,ila Ukweli wanaufahamu na Ukweli siku zote Ha

Kocha wa Sevilla Amvulia Kofia John Bocco, Adai Ana Kiwango Kama cha Drogba

Image
NancyTheDreamtz Mkufunzi wa sevia kutoka laliga ya Spain ameshangazwa na uwezo wa john boco drogba kwa kysema hakudhania Kama Tanzania kuna vipaja namna hii!! Alisema namnukuu "I have never been in east Africa especially Tanzania, I used to know some talented from Africa like drogba and keita but to me that young man with number 22 kit is really magnetic, classical and professional" Reporter: would you ever sign him? Why not' any manager would like to work with "booock'o (Spanish articulation) but i know it is not easy to sign a player from simba which is the richest club in central and east africa Reporter, three players from simba with best performance tonight boco excluded? I think kaaagere, nyoni and mkuude performed well Huyu boco hatari sana tusishangae kesho akalambishwa mkataba na sevia' Kila la kheri boko umri unaruhusu Wewe bado kijana mdogo na haujapunguza umri

Mesii Aweka wazi Hatma yake Barcelona Akumbushia Majonzi na Liverpool “Moja ya Timu Ngumu Niliyokutana Nayo Katika Maisha Yangu ni Liverpool”

Image
NancyTheDreamtz Mchezaji wa klabu ya FC Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye pia ndio kapteni wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina amefunguka mengi kuhusu hatma yake Barcelona na kuongelea kile ambacho watu wamekuwa wakilalamika sana kuhusu wao kutolewa na Liverpool kwenye michuano ya UEFA kwani ndio timu ambayo ilikuwa inategemewa sana. Lakini pia Lionel Messi anafafanua nani anayelaumu kufungwa na majogoo Liverpool Alisema  “Tunapaswa kuomba msamaha kwa mchezo wa pili huko Liverpool, Ilikuwa mojawapo ya uzoefu mbaya zaidi wa kazi ya Messi, alisema wakati akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habari. Alipenda kuiwka wazi kwa mashabiki kwamba watajitahidi kushinda Copa del Rey Jumamosi. Barcelona itacheza dhidi ya Valencia mwishoni mwa wiki katika kuwania kombe la Copa del Rey. Messi aliongeza  “Si kwa sababu ya matokeo, lakini kwa sababu ya jinsi ilivyoonekana kwamba hatukushindana. Ilikuwa moja ya uzoefu mbaya zaidi katika m

Samatta Amejibu Vipi Anaianza Safari ya EPL?

Image
NancyTheDreamtz Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania anayeichezea club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta amefanikiwa kurudi Tanzania salama akitokea Ubelgiji, Samatta amewasili Tanzania akiwa ametoka kuisadia KRC Genk kutwaa Ubingwa wake wa kwanza wa Ligi Kuu ya Ubelgiji baada ya miaka nane kupita. Samatta baada ya mafanikio hayo tayari watu wameanza kuuliza kuhusiana na mipango yake ya siku za usoni kama ataendelea kuichezea KRC Genk katika msimu wa 2019/2020 au ndio anaanza safari mpya kwenda Ligi Kuu England kukamilisha ndoto yake ya kupata nafasi ya kuvichezea vilabu vya huko. “Huwezi kujua kinachokuja mbeleni lakini mimi siku zote tulishakuwa tunaenda kwenye mabanda ya mipira watu wengi wanayajua, mimi nilikuwa mmoja wao kwenda kuangalia Ligi Kuu ya Uingereza kitu ambacho kilikuwa kinanivutia sana, napenda kwenda kucheza Ligi Kuu ya Uingereza lakini huwezi jua kila kitu kitakachokuja mbele ila tunahisi kitakachokuja”>>>Samatta

Kocha wa Yanga SC ashikilia mikataba ya wachezaji 14

Image
NancyTheDreamtz Uongozi wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna presha na wachezaji ambao utawafanyia usajili msimu ujao kwani tayari kazi hiyo wamemuachia kocha mkuu, Mwinyi Zahera ambaye anashughulikia mafaili yote ya wachezaji. Yanga mpaka sasa wachezaji wake 16 wa kikosi cha kwanza wanamaliza mikataba yao msimu huu hivyo kinachosubiriwa ni kuwaongezea mkataba wale ambao watakidhi vigezo vya kocha. Akizungumza na Saleh Jembe, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredirick Mwakalebela amesema kuwa kwa sasa hawashughuliki na masuala ya usajili kazi hiyo wamemuachia Zahera. "Kuhusu usajili sisi tupo vizuri kwanza tunaanza na wachezaji ambao mikataba yao inamalizika na wameonyesha kazi kubwa na kocha akawakubali hivyo hatma yao ipo mikononi mwa Zahera," amesema Mwakalebela. Wachezaji ambao inaelezwa kwamba mikataba yao inakwisha msimu huu ni pamoja na Ramadhani Kabwili,Haji Mwinyi, Pato Ngonyani, Gadiel Michael, Abdallah Shaibu, Said Juma Makapu, Matheo Anthon

Mahakama yaamuru kura kuhesabiwa upya Malawi

Image
NancyTheDreamtz Mahakama yaamuru kura kuhesabiwa upya Malawi Mahakama nchini Malawi imeiamuru tume ya uchaguzi kutotangaza matokeo ya uchaguzi wa rais wa Mei 21 kufuatia malalamiko ya wizi wa kura yaliyotolewa na upinzani. Katika amri hiyo, Mahakama Kuu ilitaka kusitishwa utangazaji wa matokeo ya kura ya rais na kuelekeza kuhesabiwa upya kwa kura za theluthi ya maeneo yaliyoshiriki uchaguzi. Tume ya uchaguzi nchini humo ilisimamisha kutangaza matokeo hayo baada ya kupokea malalamiko 147 kutoka kwa baadhi ya vyama vilivyoshiriki katika uchaguzi huo wa Jumanne iliyopita. Chama kikuu cha upinzani cha Malawi Congress (MCP) kinachoongozwa na Lazarus Chakwera, kiliwasilisha malalamiko mahakamani juu ya kile ilichodai kuwa makosa yaliyojitokeza katika wilaya 10 kati ya 28 nchini humo. Ujumbe wa Waangalizi wa Umoja wa Ulaya uliueleza uchaguzi huo kuwa ulisimamiwa vizuri, ulikuwa na uwazi pamoja na ushindani mkali.

Kocha wa Simba SC asaini mkataba mpya

Image
NancyTheDreamtz Koch a wa Simba SC, Patrick Aussems amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo.  Uamuzi wa kumuongezea mkataba umeafikiwa na Bodi ya Wakurugenzi baada ya Kocha Aussems kufikia malengo aliyowekewa katika mkataba unaomalizika hivi karibuni ya kuhakikisha timu inatetea ubingwa wa Ligi Kuu na inafika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

COMPUTER/CCTV /NETWORKING 2019

Image
NancyTheDreamtz Find us for any work in CCTV,COMPUTERS and NETWORKING +255692210119 or +255673050373