Posts

Showing posts from June 20, 2021
Image
BINGWA mtetezi wa ligi kuu Simba, leo Juni 19, imefanikiwa kuvuna alama tatu, dhidi ya Polisi Tanzania, kwenye mchezo  uliochezwa katika  uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kushinda bao 1-0.   Goli pekee la kwenye mchezo huo limefungwa na Luis Miquissone dakika ya 28 kwa adhabu ndogo (Free kick) baada ya beki wa kulia Shomari Kapombe kufanyiwa madhambi nje ya 18, bao hilo la nane kwenye ligi kuu kwa ‘Konde Boy’   Kwa matokeo hayo Simba ambaye ni bingwa mtetezi wa ligi imefikisha alama 70, baada ya kushuka dimbani mara 28, nafasi ya pili ipo Yanga yenye alama 64,  baada ya kucheza michezo 30.   NancyTheDreamtz

Kajala: Paula Anakwenda Shule

Image
S TAA  mkali wa Bongo  Movies, Kajala Masanja,  amevunja ukimya  uliotawala kwa kipindi  kirefu baada ya kuachana na  aliyekuwa mpenzi wake ambaye  ni msanii wa muziki wa Kizazi  Kipya, Rajab Abdul Kahali  ‘Harmonize’; kubwa ni suala la  mwanawe, Paula Paul au Paula  Kajala kwenda shule.   Kajala anasema kuwa, kwa  sasa yupo fiti na anaendelea  vyema na maisha yake kama  kawaida.   Katika mahojiano maalum  (exclusive interview) na Gazeti la  IJUMAA, Kajala ambaye ni mama  wa mtoto mmoja, Paula anasema  amekutana na changamoto  nyingi ndani ya mwaka huu na  kamwe hawezi kuja kusahau  ambapo amejifunza mambo  mengi maishani mwake.   Kajala anasema kuwa, yeye  pamoja na mtoto wake, Paula  wamejifunza mengi ambayo  hawatayasahau. KWANI KAJALA MWENYEWE  ANASEMAJE?   IJUMAA:  Habari za siku  kedekede Kajala…   KAJALA:  Salama kabisa…   IJUMAA:  Pole na  misukosuko ya hapa na pale.   KAJALA:  Asante sana,  nashukuru Mungu mambo  yamepita na kila linalonijia  nalipuuzia tu.   IJUMAA:  Mambo ni

Rais Samia Ateua Wakuu wa Wilaya Wapya-Video

Image
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2021 mefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Tanzania Bara.                 NancyTheDreamtz