Posts

Showing posts from October 13, 2018

Nilimpenda Sana Diamond, Ila Alinidharau: Zari The Boss Lady Amefunguka ...

Image
NancyTheDreamtz

PRINCESS TIFFAH JIBEBE VIDEO SNIPPET/Diamond Platnumz and Zari the Boss ...

Image
NancyTheDreamtz

Waziri Lugola sakata la Mo: Mtu anaweza tekwa kisa siasa, uchumi, mapenzi na njaa (Video)

Image
NancyTheDreamtz Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amesema Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta Mfanyabiashara Mohamed Dewji na hadi sasa watu 20 wanashikiliwa kusaidia upelelezi. Waziri Lugola akizungumza na wanahabari amelitaka jeshi la polisi kufanya haraka katika upelelezi wake na kutomshikilia mtu kwa zaidi ya 24. Amewataka wananchi kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwake. “Sababu za matukio ya kutekwa yanayotokea ni pamoja na kisiasa, kiuchumi, kimapenzi na njaa ili mtu apate fedha na sababu za kutekwa kwa Mohamed Dewji zitajulika hapo wahalifu watakapojulikana” Amesema Lugola.

Masaa 48 Yamepita Bado Mo Dewji Ajapatikana Baba yake aulizwa ishu ya simu ya mwanaye kuwa hewani

Image
NancyTheDreamtz Jeshi la Polisi bado linaendelea kumsaka mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania Mohamed Dewji ‘Mo’ ikiwa ni zaidi ya saa 48 zimepita tangu atekwe nyara na watu wasiojulikana wakati akingia kufanya mazoezi katika gym ya Colosseum, Oysterbay jijini Dar leo Oktoba 11. Hadi sasa mamlaka zinazohusika hazijatoa taarifa mpya kuhusu upatikanaji wa ‘Mo’. Ijumaa hii baba wa mfanyabiashara huyo, Gulam Dewji Hussein alipotafutwa na Mwananchi kuzungumzia taarifa zozote kuhusu mwanaye, alisema familia ilikuwa haijapata chochote kutoka polisi hadi jana jioni. Alipoulizwa kuhusu simu ya mwanaye inayosemekana ikipigwa inaita na kupokea ujumbe mfupi wa maandishi (sms), mzazi huyo alimtaka mwandishi wa habari hizi asubiri kwa kuwa muda huo (wa jioni) alikuwa na wageni na asingeweza kuzungumzia suala hilo. Hata alipotafutwa baadaye hakuweza kupatikana.

Matokeo ya Taifa Stars Yamuibua Zitto ''Wachezaji Taifa Stars wasingeambiwa''

Image
NancyTheDreamtz Mbunge wa Kigoma Mjini na mdau mkubwa wa michezo nchini Zitto Kabwe, amewatetea wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Cape Verde, kwa kusema wameumizwa na tukio la kutekwa kwa Mohammed Dewji. Zitto kupitia mtandao wa Twitter ameweka ujumbe huo, akitamani wachezaji hao wasingepata taarifa za kutekwa kwa mfanyabiashara huyo ambaye pia ni mdau wa michezo nchini akiwa mlezi wa Simba SC. Zitto Kabwe Ruyagwa ✔ @zittokabwe  Wachezaji wetu Taifa Stars wameumizwa sana na tukio la mwanamichezo mwenzao @moodewji kutekwa. Wengi walikuwa wanamjua in person na wengi zaidi wanachezea Timu anayoilea ya Simba Sports Club. I wish wasingeambiwa kabla Lakini dunia ya Habari hii. Ndugu zetu Polisi ONGEZA JUHUDI 8:58 PM - Oct 12, 2018 871 222 people are talking about this Twitter Ads info and privacy Mo Dewji ambaye ni mwekezaji katika klabu ya soka ya Simba akimiliki asilimia 49 ya hisa za klabu ametekwa Alhamis Oktoba 11, 2018. Hadi sas

Wapinzani DRC Watishia kuandamana kupinga mfumo wa upigaji kura

Image
NancyTheDreamtz Wagombea wakuu wa upinzani kwa nafasi ya urais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, upinzani umeitisha maandamano ya kupinga mfumo wa kura kwa mashine za elekroniki kwenye uchaguzi mkuu wa Desemba 23. Upinzani unasema kuwa wanapinga pia daftari la wapigakura wasio na alama za vidole kwenye kadi zao. Hata hivyo, Martin Fayulu, mmoja wa wagombea wa urais na ambaye alisoma taarifa hiyo ya pamoja ya upinzani mbele ya waandishi wa habari mjini Kinshasa, alisema upinzani hauna nia ya kuususia uchaguzi huo. “Tunawatolea wito raia wa Kongo kujipanga kwa ajili ya kulazimisha kuweko na kura ya makaratasi kulingana na sheria ya uchaguzi na kalenda iliyotangazwa na tume huru ya uchaguzi.” Licha ya hayo, wapinzani walisema wanaunga mkono juhudi zozote za mazungumzo ili kupata suluhisho kuhusu mfumo wa uchaguzi wa matumizi ya mashine ya elekroniki. Taarifa hiyo ya pamoja ya upinzani iliidhinishwa na Vital Kamerhe, Felix Tshisekedi, Jean-Pierre Bemba, Moise Katumbi, Freddy Matu

Waziri Jafo Afunguka Sakata la Mkurugenzi Aliyekamatwa Akitaka Kutoroka Nchi Kuelekea Nchi Jirani

Image
NancyTheDreamtz Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, amesema walimkamata aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nyang’wale, Geita, Carlos Gwamagobe, akitaka kutoroka kwenda nchi jirani baada ya upotevu wa zaidi ya Sh bilioni 2.2. Kauli hiyo aliitoa jijini hapa jana wakati akifunga mafunzo kwa wakuu wa wilaya wapya 27 na wakurugenzi 39 walioteuliwa Julai na Agosti, mwaka huu na Rais Dk. John Magufuli. “Kwa mfano juzi juzi pale Nyang’wale watu wameiba zaidi ya shilingi bilioni 2.2, sio fedha za mchezo eti mfano Halmashauri ya Kakonko inakusanya shilingi milioni 343,” alisema na kuongeza: “Halmashauri nyingine wameiba shilingi bilioni 2.2 sawa na miaka saba ya ukusanyaji wa Kakonko, lakini muda mfupi watu wamechukua akaunti inasoma ziro. “Halafu hawana shaka wanafunga mikanda, nimpongeze mkurugenzi wa Nyang’wale, alionyesha ndani ya muda mfupi anafaa kuwa mkurugenzi. “Alikataa baada ya kuona vitu havijakaa sawa, angeenda kichwa

Je Wajua Unapofanya Mapenzi na Mtu Huwa Mnafanya Agano la Damu? Basi Soma Hii

Image
NancyTheDreamtz Unapohusiana na mtu kimapenzi unafanya naye agano la damu. Agano hilo maana yake ni kwamba wewe unakubaliana na kufungamana na sifa na tabia pamoja na vifungo vingine vyote kama vile laana, mizimu, matatizo na majanga mbalimbali yanayomhusu huyo uliyefanya naye mapenzi, kadhalika na yeye anafungamana na wewe katika mambo hayo. Agano la namna hiyo humtaka aliyeingia katika hayo mapatano kukubaliana nayo "consistently". Iwapo mhusika hatatii au ataenda kinyume na agano, ndipo agano hilo "hutrigger malice" na kusababisha kutokuelewana, vurumai, kutokupendana na hata kuuana katika mahusiano na mara nyingi kupelekea kuachana! Kimsingi, unapojamiana na mtu unakubaliana naye kuchangia kila kilicho chake, na yeye pia anakubaliana kuchangia na wewe kila kilicho chako, hasa laana na matatizo kama vile magonjwa na mizimu kwa sababu hivi vitu vimejengwa katika maagano ya damu. Ndio maana wakati mnaoana na mwenzio mlipendana sana, lakini kwa sababu wewe au mw

VIDEO: Wema Sepetu Aamua kuuonyesha MSAMBWANDA wake kwa Mara ya Kwanza!

Image
NancyTheDreamtz

EXPENSIVE THINGS OWNED BY DIAMOND PLATINUMZ

Image
NancyTheDreamtz

EXCLUSIVE: LEO LULU AVISHWA PETE NA MAJIZO CHEKI FULL VIDEO MACHOZI YAL...

Image
NancyTheDreamtz

JCB & Mo Plus ft Catrina - Mapinduzi ( BONGO FLAVA - RADIO MBAO)

Image
NancyTheDreamtz

Historia ya Diamond yawatoa machozi Tandale/ aeleza alivyotoswa mpaka ku...

Image
NancyTheDreamtz

GeezMabovu ft FidoVato & SpacDawg - HipHop Misingi( BONGO HIP HOP - RADI...

Image
NancyTheDreamtz

NIKKI MBISHI - PESA KWANZA ( BONGO FLAVA - RADIO MBAO)

Image
NancyTheDreamtz

Songa - Kikosi Cha Mizinga ( BONGO HIP HOP - RADIO MBAO)

Image
NancyTheDreamtz

Alikiba mwambie sina new song

Image
NancyTheDreamtz

WILLY PAUL AND NANDY - NJIWA (Official Video)

Image
NancyTheDreamtz

Maua Sama X Hanstone - Iokote ( Official Music Video )

Image
NancyTheDreamtz

ALIKIBA - Mvumo Wa Radi (Official Video)

Image
NancyTheDreamtz

ALIKIBA - Hela (Unofficial Dedication Release Music Video)

Image
NancyTheDreamtz

ALIKIBA X Abdukiba X Cheed X K2ga X Killy - Mwambie Sina (Official Video)

Image
NancyTheDreamtz

Wcb wasafi ft Diamond Platnumz & Mbosso & Lavalava - JIBEBE (Official Vi...

Image
NancyTheDreamtz

Wcb wasafi ft Diamond Platnumz & Mbosso & Lavalava - JIBEBE (Official Vi...

Image
NancyTheDreamtz

Mbosso - Nipepee (Zima Feni) Official Music Video

Image
NancyTheDreamtz

Mbosso - Nadekezwa (Official Music Video)

Image
NancyTheDreamtz

Mbosso - Nadekezwa (Official Music Video)

Image
NancyTheDreamtz

Mbosso - Hodari ( Official Video Music )

Image
NancyTheDreamtz

Ferooz - Najaribu (Official Video)

Image
NancyTheDreamtz

ISHARA 3 DIAMOND FREEMASON | HUWEZI KATAA

Image
NancyTheDreamtz

ALICHOKISEMA DOGO JANJA BAADA YA POST YA DIAMOND PLATNUMZ NA UWOYA

Image
NancyTheDreamtz

Diamond Platnumz - ENEKA (Official Video)

Image
NancyTheDreamtz

D.A.D [DAY AFTER DEATH] BY WEMA SEPETU FULL MOVIE

Image
NancyTheDreamtz

Movie Mpya ya Wema Sepetu x Gabo Kutikisa Bongo movies

Image
NancyTheDreamtz

DAY AFTER DEATH (DAD) MOVIE MPYA YA WEMASEPETU NA VANVICKER /BONGO MOVIE...

Image
NancyTheDreamtz

DJ AFRO AKA KIMODA 2018 LATEST NEW ACTION ENGLISH MOVIES

Image
NancyTheDreamtz

DIAMOND NA IRENE UWOYA WAWEKA WAZI MAHUSIANO YAO,DOGO JANJA HALI MBAYA.

Image
NancyTheDreamtz

Nyimbo Kali Mpya za Wiki Hii October 6, 2018 - New Songs of the Week

Image
NancyTheDreamtz

WOMAN vs. DOG

Image
NancyTheDreamtz

ANIMAL IN SUIT, EPISOD 1. LATEST NOLLYWOOD MOVIE. WATCH, SHARE & SUBSCRI...

Image
NancyTheDreamtz

I HAD SEX WITH A DOG | Gigi

Image
NancyTheDreamtz

NAY ASIMULIA ALIVYOMFICHA MAMA YAKE

Image
NancyTheDreamtz WAKATI ngoma yake ya Alisema ikitikisa kila kona kwa kuwa na mistari tata, msanii wa Muziki Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefungukia jinsi alivyomficha mama yake hadi alipoachia wimbo huo. Akichonga na  Mikito Nusunusu,  Nay alisema kuwa wakati anatengeneza hadi anaachia wimbo huo hakutaka mama yake ajue. “Kiukweli nilifanya siri sikumueleza mama yangu kuhusu ule wimbo na mpaka natengeneza video yake sikumwambia lakini nilipokuwa studio nikawaza tu kwamba kuimba nyimbo za aina hii mama alishanikataza, huwa ananiambia niache kabisa kuimba kwa kuwa mimi nina watoto wananitegemea na familia kwa ujumla. “Kwa kuwa nimlificha aliisikia mtaani akanipigia simu na kuniambia niende nyumbani, nilienda pale na kumkuta akinisubiri kwa hamu sana ili kuniuulizia kwa nini nimerudia tena kuimba? Ikabidi nimueleweshe tu sikuwa na jinsi akanielewa,” alisimulia Nay na kuongeza; “Nilivyoutunga nikaishirikisha na menejimenti yangu nikaambiwa nimpe mwanasheri

Aika Atoa ya Moyoni Kuhusu Skendo za Daimond na Hamissa Mobeto

Image
NancyTheDreamtz NAVY KENZO moja kati ya makundi bora kuwahi kutokea kunako Muziki wa Bongo Fleva, miaka miwili ya nyuma kundi hili ambalo linaundwa na kapo, Aika Marealle na Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ lilikuwa ‘hot’ na baada ya hapo likazima ghafla huku chanzo kikitajwa kuwa ni likizo ya uzazi baada ya Aika kujifungua. Kwa sasa limerudi tena likiwa juu na ngoma yao ya Katika wakimshirikisha mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mikito Nusunusu limefanikiwa kukutana na Aika ambaye amefunguka mengi kuhusiana na maisha yake na muziki kwa ujumla, huyu hapa; Mikito Nusunusu: Kitu gani ambacho utakikumbuka kutoka kwa Prodyuza Pancho Latino aliyefariki hivi karibuni? Aika: Pancho ni jina kubwa na kajitahidi kufanya vitu vikubwa kwenye soko la muziki siyo mimi tu nitakaye mkumbuka hata Watanzania watamkumbuka kwa mengi mno kwa sababu ana mchango mkubwa sana kwenye gemu ya Bongo Fleva.e Mikito Nusunusu: Muziki unaathiri malezi ya mtoto yako? Aika: Hapana, kila kitu nimekipang