Posts

Showing posts from February 26, 2020

Bwana Misosi: Ruge aliniambia tatizo nini, mbona una kipaji kikubwa (Video)

Image
NancyTheDreamtz Msanii huyo wa hip hop amefunguka mengi ikiwa leo February 26, ni Mwaka mmoja toka afariki dunia Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vipindi Clouds Media na mdau mkubwa wa muziki nchini Tanzania. Related Articles

Bwana Misosi: Ruge aliniambia tatizo nini, mbona una kipaji kikubwa (Video)

Image
NancyTheDreamtz Msanii huyo wa hip hop amefunguka mengi ikiwa leo February 26, ni Mwaka mmoja toka afariki dunia Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vipindi Clouds Media na mdau mkubwa wa muziki nchini Tanzania.

Video: Antonio Nugaz afunguka mechi yao dhidi ya ‘Mnyama’ Simba, ujumbe wa Manara na ujio wa Jerry Muro

Image
NancyTheDreamtz Afisa Mhamasisha na Msemaji wa Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Yanga SC,  Antonio Nugaz amezungumzia mchezo wao wa leo wa kombe la FA dhidi ya Gwambina FC. Nugaz pia amezungumzia ujio wa aliyekuwa Msemaji wa Yanga SC, Jerry Muro katika kuhakikisha anaongeza hamasa huku akigusia Dar Es Salaam Derby dhidhi ya Mtani wao Simba SC Related Articles

Binti Kiziwi afunguka baada ya kumaliza kifungo cha miaka 8 jela China kesi ya Dawa za Kulevya (Video)

Image
NancyTheDreamtz Bongo5 TV imefanya mahojiano exclusive na video queen, Sandra Khan aka Binti Kiziwi ambaye amemaliza kifungo chake cha miaka 8 jela Hong Kong, China baada kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya. Mrembo huyo amefunguka mambo mengi pamoja taarifa nyingi ambazo zilikuwa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba amenyongwa. Sandra amedai wakati yupo gerezani alikuwa anasikia mambo mengi hukusu serikali ya Rais John Pombe Magufuli pamoja na maendeleo yaliyofanyika. Related Articles

Video: Dr Mwaka Kafunguka Kuhusu Mke Wake Aliewahi Kuolewa na Mtu Mwingine

Image
NancyTheDreamtz Mapya yanaendelea kuibuka ambapo Dr Mwaka FEB 25 alifunguka kupitia kipindi cha Ala za Roho kuhusu wanaomkosea kumuoa mke aliewahi kuolewa zamani. Itazame hii video ujionee akifunguka kwenye kipindi cha Diva Loveness cha Ala za Roho kinachorushwa Radio Clouds FM VIDEO:

Fahamu Kinachojiri Kuhusiana na Kirusi cha Corona (Coronavirus)

Image
NancyTheDreamtz Karibu kwa ajili ya kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China. Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada zinazofanyika kukabiliana na kirusi hiki na mengine mengi yanayoibuka duniani kote katika muda wowote kuanzia sasa. Nikukaribishe sana! Coronaviruses in virusi vinavyopatikana zaidi kwa wanyama, lakini katika matukio machache virusi hivyo ninavyoitwa Zoonotic, Kisayansi, vinaweza kuambukizwa kutoka kwa mnyama kwenda kwa binadamu. Virusi hivi vinaweza kuwafanya watu wakaugua, mara nyingi katika sehemu ya juu ya mfumo wa upumuaji sawa kabisa na mafua ya kawaida. Virusi husambaa kutoka kwa binadamu mmoja hadi mwingine kwa njia ya hewa kwa kukohoa au kupiga chafya, kugusana na mtu mwenye virusi hivyo. Njia nyingine ni kugusa kitu au sehemu yenye virusi na kisha kujigusa mdomo,

Yanga yatoa sababu kubwa sita zakuifunga Gwambina leo

Image
NancyTheDreamtz Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela  amesema kuwa wana sababu kubwa sita zinazowafanya washinde leo mbele ya Gwambina mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 16 bora. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo saa 10:00 Uwanja wa Uhuru mshindi atakayepenya leo anatinga hatua ya robo fanali. Mwakalebela amesema:-" Tuna kila sababu ya kuifunga Gwambina kwa sababu tuna benchi la ufundi zuri, wachezaji imara, mbinu kali, uwezo mkubwa, nia ya kufanya vizuri ipo. "Pia kuifunga Gwambina kutaturejesha kwenye mstari wetu ambao tulikuwa kwani hatukuwa na matokeo mazuri  na itatufanya turudishe imani kwa mashabiki wetu hivyo ushindi wetu mbele ya Gwambina ni muhimu mashabiki mjitokeze kwa wingi," amesema.