Posts

Showing posts from July 20, 2022

Hatimaye Msuva Atimkia Saudi Arabia Kujiunga na Timu ya Daraja la Pili

Winga nyota wa Tanzania Simon Msuva amekamilisha mipango ya kujiunga na timu ya daraja la pili ya AL-QADSIAH. Tayari leo amefanyiwa vipimo vya Afya na vimekwenda vyema. Msuva ambaye alivunja mkataba na miamba ya soka ya Morocco Wydad Casablanca anaanza maisha mapya ya soka Saudi Arabia. nyandichethedreamtz

Diamond athibitisha kununua Ndege binafsi Private Jet

Staa wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya WCB Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa ameshanunua Ndege yake yaani Private Jet. Akiongea na DW akiwa nchini Ujerumani Diamond amesema kuwa tayari ameshanunu Ndege ambayo aliwahi kuizungumzia miaka kadhaa sasa na pia meneja wake Sallam Sk ameweka wazi kuwa licha ya Ndege hiyo kununuliwa na Diamond pia itakuwa inatumika kukodishwa. nyandichethedreamtz