Posts

Showing posts from March 12, 2020

Z Anto akasirishwa na kauli za Wastara kwa Binti Kiziwi (Video)

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki, Z Anto amedai hajapendezwa na namna muigizaji Wastara waliivyokuwa akimzungumzia vibaya, Binti Kiziwi ambaye ameshiriki kama video queen kwenye wimbo wake ‘Nichape’ ambao kwa sasa unafanya vizuri. Hata hivyo muimbaji huyo ameshindwa kueleza mahusiano yake na Wastara.

Lema 'Ina Maana Mahakama imetoa CONTROL Number Mbili Kwa Ajili ya Malipo Mtu Mmoja?"

Image
Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema  ahoji ina maana mahakama inatoa control number mbili kwa ajili ya malipo ya mtu mmoja. “Unajua kuna level fulani ya maisha mtu ukifika hupaswi kabisa kuwa msanii! nauliza ata kama ni sawa je wanafikiri watafanikiwa nini,” alihoji Lema. Lema aliandika ujumbe unaosome hivi katika ukurasa wake wa Twitter “Kwamba Mahakama inatoa control number mbili kwa ajili ya malipo ya mtu mmoja? Unajua kuna level Fulani ya maisha mtu ukifika hupaswi kabisa kuwa msanii! nauliza ata kama ni sawa je wanafikiri watafanikiwa nini,”. Leo Rais John Magufuli amelimlipia faini mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ambaye tupo gerezani kwa kushindwa kulipa fedha hizo baada ya kuhukumiwa katika kesi ya uchochozi akiwa na vigogo wenzake nane.

Maisha ya Msanii Hawa ni Darasa Tosha

Image
NancyTheDreamtz Msanii hawa aliyefahamika zaidi kupitia wimbo wa Diamond Plutinumz wa Nitarejea. Aliwahi kukiri kwamba stress za maisha zilimpelekea kuingia katika maisha ya utumiaji wa madawa ya kulevya pamoja na utumiaji wa pombe kali, bange na pombe za kienyeji (mataputapu) Hiyo ikapelekea kuuchukia wimbo wa nitarejea na kumlalamikia Diamond kwamba hakulipwa chochote kwenye wimbo wa Nitarejea. Kutokana na utumiaji wa pombe kali ikapelekea kuugua ugonjwa wa ini na kujaa sana kwa tumbo. Diamond akamsaidia kumpeleka India kwa ajili ya matibabu na akapona. Sasa hivi anaendelea na muziki. Ameachia wimbo mpya unaitwa Moyo ni wimbo mzuri; una maadili unaweza kuuangalia hata ukiwa na familia yako. Hii inatufundisha jinsi gani Mungu anatoa another chance Kwa ajli ya kujirekebisha. Sasa hivi Hawa anaoga, anapendeza. Kwa kifupi anajua kuimba. Simsifii sana.

Nafasi 21 za Ajira Zilizotangazwa Leo Tarehe 12 March 2020

Image
NancyTheDreamtz NAFASI za Ajira Zilizotangazwa Leo 12 March 2020 2 Job Opportunities at Tanzania Postal Bank READ More>> https://www.ajirayako.co.tz/2020/03/ajira_12.html Job Opportunity at Standard Bank - Officer, Strategic Sourcing READ More>> https://www.ajirayako.co.tz/2020/03/ajirayako_76.html Job Opportunity at Exim Bank - Card Manager READ More>> https://www.ajirayako.co.tz/2020/03/ajira_52.html Job Opportunity at Exim Bank - MI & Analytics Manager READ More >> https://www.ajirayako.co.tz/2020/03/ajira_11.html 3 Job Opportunities at The Community Development and Relief Trust (CODERT) READ More>> https://www.ajirayako.co.tz/2020/03/ajira_64.html Job Opportunity at Ongeza Tanzania Ltd - Senior Software Developer READ More>> https://www.ajirayako.co.tz/2020/03/ajira_27.html Job Opportunity at Umoja Tanzania Incorporated (Umoja) - English Teacher READ More>> https://www.ajirayak

Yanga Yapigwa na KMC Bao 1-0, Yabaki Nafasi ya Tatu

Image
NancyTheDreamtz Timu ya Yanga imefungwa bao 1-0 dhidi ya KMC leo Machi 12, 2020 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Mfungaji wa bao la KMC ni Salim Aiyee dakika ya 62.