Posts

Showing posts from August 7, 2020

MAMA DOMINIC MTAULA MUNGU AKUEPUSHE NA ADHABU YA KABURI KAMWE HAITAFUTIKA ALAMA YAKO DUNIANI 2020

Image
Nimiezi sasa Mama/Shangazi/Dada/Wifi/Bibi yetu Mpendwa toka umetutoka ukiwa umetuachia ukiwa wanao Elizabeth Mtaula,Cletus Mtaula ,Christina Mtaula pamoja na Mme wako Kipenzi Mzee Dominick Mtaula umewaachia pengo kubwa lisilo zibika na endapo kama kifo kingekuwa hakina lazima basi Jamii ya Bibi Jojina Mahichi isingekubaliana na Kuondoka kwako leo haina budi kuandika Makala hii kwako ili iweze kuwa alama ya upendo kwako tunakuombea nakukutakia punziko la milele daima Kama yeye alituumba kwaudongo basi haina budi kukubali matendo yake Mwanga wa Milele ukuangazie eebwana. Ni vigumu sana kupata Mlezi wa watu wengi katika Familia ya Mzee Dominick Mtaula kupitia Makala hii napenda kutoa kumbukumbu yangu kwako ilikuwa miaka ya 2000 ambapo Nyumbani kwako kulikuwa na utitiri wa watu hukuchoka kuishi nao kwa shida na raha mpaka wengi wao wamefanikiwa kimaisha nikama misemo ya wahenga isemavyo tenda wema nenda zako daima wewe ulikuwa nguzo imara kwa upande wa mumewako pamoja na upande wa Baba yak

Sheikh Majini: Lissu Tumia Maneno ya Busara

Image
MTABIRI na mtaalamu wa visomo na dua,  Sheikh Sharrif Majini,  amemtaka mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  ( Chadema), Tundu Lissu  kupunguza ukali wa maneno katika hotuba zake anazozitoa kupitia mikutano yake.   Majini  amesema hotuba iliyotolewa juzi  Jumatano  na  Tundu Lissu  haikuwa ya kizalendo na imejaa maneno yakuwagawa  Watanzania  na kuhatarisha usalama wa nchi.   “ Watanzania niwaelewa, wasikivu, pia wanaithamini sana amani waliokuwa nayo na kuitunza. Watashangaa sana wakiona kipindi hiki kabla ya kampeni kuanza anatokea mgombea na kusema kwamba akishindwa atawaingiza watu barabarani, tena akishawishi na vyama vingine viingie barabarani.   “Tunamsihi atumie maneno ya hekima na busara  Watanzania  watamuelewa. Kauli kama hizi ni hatari kwa  Taifa  letu kwa sababu tumeona mataifa mengi yameingia kwenye machafuko kwa kauli kama hizi, matokeo yake amani imechafuka katika mataifa hayo, amani imechafuka katika mataifa hayo na hakuna tena maelewano.   “Sasa kwa nch

Simba yang’ara tuzo za ligi kuu msimu 2019/20, Chama mchezaji bora (+Video)

Image
Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC imefanikiwa kutawala tuzo za ligi kuu msimu huu wa mwaka 2019/20 kwa kuondoka na tuzo nyingi na muhimu zikiwemo mchezaji bora, mfungaji bora, golikipa bora, kocha bora na nyingine. NancyTheDreamtz

Mzee Yusuf aitikisa Dar Live, afutiwa vumbi kiti chake cha Ufalme (+Video)

Image
Mfalme wa muziki wa Taarabu nchini Mzee Yusuf amerejea kwenye game la muziki huo na kufanya show yake ya kwanza Dar Live jijini Dar Es Salam huku waliokuwa wanadai wanakalia kiti chake cha Ufalme wakikifuta na kuruhusu kukalia. NancyTheDreamtz

Mwijaku amchana Baba levo baada ya kuikosoa show ya Alikiba, anatumiwa vibaya aliomba ku-perform akakataliwa (+Video)

Image
Msanii wa Bongo movie na Mtangazaji wa Clouds media  @mwijaku  amemtolea uvivu  @officialbabalevo  baada ya kumshauri  @officialalikiba  asogeze show yake mbele akidai ataenda kuumbuka kisa show inafanyika katikati ya mwezi tofauti na ingefanyika mwisho wa mwezi ili apate watu wengi huku kukiwa ni mwisho wa mwezi. Baada ya kauli hiyo ya  @officialbabalevo   @mwijaku  amesema kuwa  @officialbabalevo  aliomba akaparform kwenye show hiyo na  @officialalikiba  amekataa kwa sababu anataka wasanii wa kuimba Live na Baba levo hajazoea show za Live. @mwijaku  akiongea hayo kwenye tukio la  @richmavoko  akizindua Minitape yake, amemshauri  @officialbabalevo  kuwa akomae na siasa kwani mambo ya muziki hayawezi. NancyTheDreamtz

Gospel Songs

NancyTheDreamtz

Mwijaku na Soudy Brown watupa dongo, muziki wa Mavoko ulitekwa na maharamia sasa tumeurudisha (+Video)

Image
Katika tukio la uzinduzi wa Minitape ya  @richmavoko  yenye ngoma nane limeweza kufunguliwa Kwa style ya aina yake kwa madensa wake kuingia na ngoma ya Kihindi. Baada ya hapo watangazaji wa Clouds Fm  @mwijaku  na  @soudybrown  waliweza kuongea na  @mwijaku  kutupa dongo gizani akisema muziki wa Mavoko ULITEKWA na Maharamia na sasa umerudishwa. NancyTheDreamtz

Maneno ya AY na Fid Q kwa Mavoko, Hatukuwahi kuwa na wasiwasi juu yake tuliamini atarudi tu na atafanya vizuri (+Video)

Image
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva  @fidq_words  na  @aytanzania  walikuwa miongoni mwa watu waliojitokeza kwenye tukio la  @richmavoko  na walipopata nafasi ya kuongea walimshauri Mavoko maneno haya. Mbali na  @aytanzania  na  @fidq_words  kupata nafasi ya kuongea pia  @petitman_wakuache  alipata wasaa wa kuuliza swali na ilikuwa hivi. NancyTheDreamtz

Mama mzazi wa Rich Mavoko ashindwa na uvumilivu atimba jukwaani, aongea maneno mazito (+Video)

Image
Katika tukio la kuzindua Minitape ya  @richmavoko  imehudhuriwa na watu mbalimbali, miongoni mwa watu waliohudhuria ni Pamoja na mama yake mzazi. Baada ya kukaribishwa kuongea hakuwa na maneno mengi bali atoa ujumbe huu. NancyTheDreamtz

Alikiba aweka historia Mtwara afanya show ya kiutu uzima zaidi, taa zazimwa mashabiki watumia simu zao (+Video)

Image
Moja ya Show kubwa kufanyika katika kipindi hiki baada ya Corona kupungua Tanzania ni hii ya CEO wa  @kingsmusicrecords   @officialalikiba  Katika show hiyo ambayo ikifanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara  @officialalikiba  ameweza kufanya show kubwa sana. Baada ya Show hiyo  @officialalikiba  anatarajiwa kurejea DSM mapema leo kwani kuna mchezo wa  #NIFUATE  yaani Teamkiba na TeamSamatta ambao utachezwa uwanja wa Mkapa. Pia Tatehe 14/8/2020 anatarajiwa kuelekea Kigoma kwa ajili ya show yake.   NancyTheDreamtz