Magufuli Kuchukua Fomu NEC Kesho Mapemaa!

MGOMBEA Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Joseph Maguful atachukua fomu ya kugombea Urais kesho Alhamisi tarehe 6 Agosti saa 3:00 Asubuhi Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jijini Dodoma.
NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake