Posts

Showing posts from August 13, 2018

Computer Repair 2018

Image
Government Pc repair with Technician Nyandiche Jr 2018

Video: Aslay na Nay wa Mitego walivyopigana vikumbo Burundi

Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego pamoja na muimbaji Aslay wameonekana kufanya vizuri katika show zao mbili tofauti zilizofanyika weekend hii nchini Burundi. Kila mmoja akionekana kufanya vizuri zaidi baada ya kupost clips za video za shows. Aslay alifanya show yake hiyo Bunyenzi Bunjumbura siku ya Jumamosi na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kwani mashabiki waliojitokeza ukumbini hapo walionekana kumshangilia kwa nguvu huku wengine wakilia kuonyesha ishara ya upendo. “Abarundi mwarakoze kurukundo mwatweretse 🇧🇮🇧🇮🇧🇮,” aliandika Aslay. Naye rapa Nay wa Mitego alikuwa nchini humo siku hiyo hiyo ya Jumamosi, na yeye alionyesha makeke yake mbele ya maelfu ya mashabiki waliojitokeza katika show huyo. Rapa huyo amedai hakuwai kuwaza kama anaweza kupata mashabiki wangi nchini Burundi “BURUNDI BURUNDI BURUNDI. Mungu Awabaliki Sijawai Kuwaza Wala Kufikilia Kama Napendwa Kiasi Iki🙏🏿 Nje Ya Nyumbani Kiasi Cha Kujaza Uwanja. #OneManArmyShow✊🏿 Hakuna Wimbo Wangu W

Nancy Arthur Nyandiche Mtoto wakike Ambae amejipanga Vilivyo kuweza kukabiliana na masomo ya tekinolojia ya kompyuta

Image
Amezaliwa miaka mitano iliyopita Baba yake mzazi Anaitwa Arthur Raphael Nyandiche ndie role Model wake katika fani ya kompyuta ambae anamfanya awe mmoja kati ya mabinti wanaotamani kuwa na taaluma ya computer science hapo baadae nakwakufanya hayo sasa nancy ameweza kumiliki wavuti yake ambayo anaweza kusambaza habari mbalimbali kwa wateja wake pia ameadhimia kufanya biashara kwanjia ya mtandao huyo ndiye Nancy Arthur Nyandiche Mtoto ambae anatamani kutimiza ndoto zake kwakuanzia mikoa ya kusini akiwa na miaka michache leo anaendesha wavuti yake kama mpango anzilishi wa safari yake ya maisha hapo baadae pia anaomba watoto wenzake kuwa kama yeye ilikuinua tekinolojia ya tanzania kwa maendeleo ya nchi yetu

MANGE KIMAMBI SIYO MZALENDO WA NCHI YETU BALI NI KIBARAKA WA NCHI NYINGINE HATUMUHITAJI

Image

Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba kwa serikali ya Magufuli

Haki miliki ya picha Instagram/Mange Kimambi Ikiwa ni zaidi ya miaka miwili sasa tangu Rais John Magufuli wa Tanzania aingie madarakani, rais huyo ameonesha kutokusita kukabiliana na wapinzani wake, kuanzia wanasiasa na hata viongozi wa dini. Rais Magufuli amedhibiti shughuli za kisiasa za wapinzani. Mikutano ya hadhara na maandamano ya kisiasa vyote vimezuiliwa, huku viongozi wote wa juu wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema wakiwa wanakabiliwa na kesi mbalimbali mahakamani ikiwa ni pamoja na makosa ya kusababisha vurugu. Watu 7 wakamatwa kuhusiana na maandamano Tanzania Uingereza yatoa tahadhari kwa raia wake Tanzania Serikali ya Rais Magufuli, ambaye ni muumini mzuri wa kanisa Katoliki, imetishia kuzifutia usajili asasi zote za kidini ambazo aid

Young Dee Autema Uongozi Wake...Adai Kwasasa Ana Kampuni yake

Image
Paka Rapper Young Dee kwa mara ya kwanza amesema kuwa amefungua Kampuni yake mwenyewe ambayo itasimamia kazi zake za sanaa na ameachana na Habari za kuwapa watu wengine wasimamie kazi zake za muziki. Exclusive Young Dee ameongeza kuwa Wiki ijayo ataachia wimbo wake mwenyewe na kwa mara ya kwanza hiyo itakuwa ndio itakuwa kazi ya kwanza kutoka kwenye Kampuni hiyo ambayo ataitambulisha rasmi kwa

Seebait.com 2018SeeBait Kauli ya Kubenea Kuhusu kujiunga CCM

Image
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) amefunguka kuhusu taarifa zinazodai yuko mbioni kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu mwaka jana, wimbi la viongozi, wabunge na madiwani wa upinzani kujiuzulu nafasi zao na kujiunga na CCM lilipoanza, Kubenea amekuwa akihusishwa na mpango wa kuihama  Chadema na kujiunga na chama tawala. Juzi aliandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram akitetea uamuzi wa viongozi wa upinzani kujiuzulu nafasi zao na kujiunga na CCM. Ujumbe huo wa mbunge huyo anayefahamika kwa kutoa habari nyingi za msingi wa makatazo na machukio dhidi ya watu walio mafisadi nchini akiwa mwandishi wa habari, ulisambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua mjadala kutokana na kuhusishwa kwake kwa muda mrefu kujiunga na chama tawala. Ujumbe huo ulisomeka: "Si wote wanaohama wamenunuliwa, ingawa ni kweli kuwa wapo baadhi ya waliohama wamenunuliwa. Kuna wengine wamehama kutokana na kuwapo migogoro, chuki na ubaguzi katika maeneo

MUSIC AUDIO: Fid Q aachia wimbo wa dakika 7 ‘Kiberiti’ akiwa na Saida Karoli, awataja Alikiba, Gwajima, Bashite na Rayvanny

Yes! Rapper Fid Q ameachia ngoma yake mpya ya Kiberiti ambayo amemshirikisha Muimbaji Saida Karoli. Wimbo huo wenye dakika 7 ameelezea mambo mengi yanayohusu maisha ya kawaida. Kwenye mashairi ya wimbo huo ametaja majina ya watu wengi yakiwemo Alikiba, Rayvanny na Askofu Gwajima huku Saida Karoli akipita na kiitikio (chorus ). Mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na Lufa kutoka Wanene Studio na mixing imefanywa na Chizan Brain.

PICHA: Mgombea Ubunge wa Buyungu-CCM Christopher Chiza akipokea Hati yake ya Ushindi

Image
Mgombea Ubunge wa Buyungu-CCM Christopher Chiza akipokea Hati yake ya Ushindi baada ya kutangazwa mshindi kwa kura 24,578 akifuatiwa na Eliya Michael-Chadema aliyepata kura 16,910.

Lowassa Akanusha Madai ya Kutaka Kuhamia CCM...." Sina Huo Mpango, Msinigombanishe na Rais

Image
Hatimaye Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa amejibu mapigo ya taarifa zilizokuwa zimesambaa kuwa anawatanguliza watu CCM ili baadaye  ahamie. Akizungumza mwishoni  mwa wiki iliyopita katika jimbo la Monduli, Lowassa alikanusha vikali taarifa hizo akidai kuwa wanaoeneza taarifa hizo ni waongo na wambea. Mbunge huyo wa zamani wa Monduli ambaye pia ni Waziri Mkuu wa zamani alimjibu aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Julius Kalanga akimtaka aweke wazi sababu zilizomfanya ahame  kwakuwa ni haki yake ya kikatiba bila kutumia jina lake kwa uongo. “Waambieni waache umbea na uongo. Anasema uongo kwa kinywa chake. Mimi nimtangulize kwani mimi sina miguu?” alisema Lowassa huku akisisitiza kuwa hana mpango huo. “Wanasema eti mimi nimekubaliana na Magufuli kuwahamisha wabunge kwenda CCM. Acheni kunichonganisha na Rais, mimi sina mpango wowote na [Rais] Magufuli,” alisema. Aliongeza kuwa kinachofanywa na wanaohama ni haki yao na wanapaswa kuwaeleza ukweli wananchi k

Nape Nnauye: Zitto Unajua Nakuheshimu Sana Huo Uongo Unaoutunga ni kwa Faida ya Nani?

Image
KUFUATIA Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kuweka mtandaoni matokeo ya awali ya Ubunge wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani Kigoma akisema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeshindwa katika kata 12 kati ya 13, kada wa CCM, Nape Nnauye ameibuka na kumjibu hoja yake huku akisema anamuheshimu hivyo aache uongo.

Jokate Aapa Kupambana na Wazazi, Walezi Wasiowapeleka Watoto Shule

Image
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, Jokate Mwegelo amesema atawachukulia hatua za kisheria wazazi au walezi wasiowapeleka watoto shule. Alisema hayo juzi alipofanya ziara katika shule za msingi Chazige A na B alikokutana na wananchi na kusikiliza kero zao. Jokate alisema mzazi au mlezi asiyempeleka shule mtoto hasa wa kike hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yake ikiwamo kupelekwa mahakamani. Alisema wataendelea na kampeni ya “Tokomeza Ziro” yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya kujenga nyumba za walimu na miundombinu ya shule, madarasa na vyoo. Naye ofisa elimu msingi wilayani Kisarawe, Shomari Bane alisema: “Kampeni imetusaidia, wanafunzi kuanzia mwaka jana ufaulu darasa la saba uliongezeka na walifanya vizuri. Pia, Jokate alimuagiza mganga mkuu na madaktari wilayani Kisarawe kutoa dawa zilizopo hospitalini kwa wagonjwa na kama hazipo, watoe mbadala ili wananchi wasipate usumbufu.

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Image
Leo August 13, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli amefanya teuzi mbalimbali siku ya leo na kufanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Wilaya, Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Msafiri Simeoni wa Kwimba amepelekwa Chato, Senyi Simon amepelekwa Kwimba Wafuatao ni baadhi ya walioteuliwa na Rais Magufuli kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri na Majiji Halmashauri ya Misenyi Mkurugenzi ni Innocent Mbandwa Jiji la Mbeya Mkurugenzi ni James Kasusura Halmashauri ya Malinyi Mkurugenzi ni Mussa Elias Mnyeti Mkurugenzi wa Jiji la Arusha ni Maulid Madeni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Temeke ni Lusibilo Mwakabili Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ubungo ni Beatrice Kwai Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kigamboni ni Mwilabu Nyabusu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kondoa mkoani Dodoma ni Mustapha Yusuph Mkurugenzi wa Halmashauri ya Moshi ni Tatu Seleman Kikwete Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kakonko ni Masumbuko Stephano Mkurugenzi wa Halmashauri ya Katavi ni Ramadhan

Millen Magese celebrates son Prince Kairo’s 1st Birthday in Style!

Image
Facebook Twitter Share via Email Tanzanian supermodel Millen Magase recently celebrated her son Prince Kairo‘s first birthday, hosting friends and family to what she tagged an “All White Royal Affair”. ‘ By Nancy The Dream Tz

Rais Magufuli afanya uteuzi mwingine mkubwa, Kikwete ang’olewa Kibaha apelekwa Moshi (+video)

Facebook Twitter Share via Email Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi na Katibu Tawala mbali mbali ambapo kuna wakurugenzi wapya, waliohamishwa kazi na wale watakaopangiwa kazi nyingine. Uteuzi huo uliotangazwa leo Agosti 13, 2018 na Balozi Kijazi umemhamisha aliyekuwa Mkurugenzi wa Kibaha kwa muda mrefu Bi. Tatu Seleman Kikwete kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Moshi. Makatibu Tawala wote walioteuliwa wanatakiwa kuripoti kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi Jijini Dodoma Jumatano Tarehe 15 Agosti, 2018.