Minu: Nitakuwa Mjinga Nispomuoa Snura

Mpenzi wa mwanamuziki wa Singeli nchini, Snura Mushi, Minhal azad ‘Minu’ amesema kuwa hatakuwa mjinga aliyepitiliza kama atamuoa mpenzi wake huyo kwasababu ni mwanamke mwenye busara na anafaa kuwa mama wa familia yake.

Akizungumza na Risasi Jumatano, Minu alisema kuwa tanu ameanza uhusiano na Snura, ameweza kubadilisha sana maisha yake kutokana  na uelewa mkubwa wa aliokuwepo nao, tofauti kabisa na uhusiano mwingine wowote aliowahi kupitia,hivyo kwake mwanamuziki huyo anatosha.

“ Nitachekwa na kuonekana mjinga sana kama nisipofanya maamuzi sahihi ya kumuoa Snura, yaani kwangu ametosheleza kila kitu na busara zake kwangu ndio msingi mkubwa sana yaani kiufupi ni mwanamke wa kuoa” alisema Minu.


NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais