Posts

Showing posts from December 1, 2018

when he found his wife sleeping with another one

Image
NancyTheDreamtz

Video Mpya: Shetta ft. Jux & Mr. Blue - Hatufanani

Image
NancyTheDreamtz The musician Bongo, Shetta invites you to watch the video of her new song called Unfair who has joined Jux and Mr. Blue. Look here.

RIHANNA XXX VIDEO PORNO MUSICAL

RIHANNA XXX VIDEO PORNO MUSICAL NancyTheDreamtz

Tattoo Mpya Ya Irene Uwoya Yazua Gumzo

Image
NancyTheDreamtz Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya amezaa gumzo kwenye mitandao ya kijamii Baada ya kuanika tattoo yake mpya aliyochora katika siku za hivi karibuni. Siku ya jana Kupitia ukurasa wake wa Instagram Irene alianika tattoo yake mpya aliyochora kwenye maeneo ya pans kwa nyuma kutokana giographia ya sehemu tattoo ilipo mara moja ilisababisha gumzo. Kuna baadhi ya mashabiki walimjia juu Uwoya kwa kuacha sehemu kubwa ya maungo yake wazi hasa kwa sababu tattoo hiyo ameichora maeneo ya mapaja karibia ya makalio huku wengine hata wakihoji ni nani aliyepata bahati ya kumchora tattoo. Mpaka sasa Uwoya hajaweka wazi maana ya tattoo hiyo ambayo amechora bastola.

Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Mapingamizi Ya Serikali

Image
NancyTheDreamtz Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi za serikali za kuzuia rufaa ya dhamana iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe na Esther Matiko isisikilizwe na hivyo imeamua kusikiliza rufaa hiyo leo saa nane mchana. Mbowe, ambaye pia ni Mbunge wa Hai, sawa na Matiko wa Tarime Mjini, wamekata rufaa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam chini ya hati ya dharura wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Kisutu kuwafutia dhamana katika kesi ya jinai inayowakabili mahakamani hapo. Walifutiwa dhamana na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, anayesikiliza kesi hiyo Novemba 23 kutokana na maombi ya upande wa mashtaka yaliyodai wameshindwa kuhudhuria mahakamani wakati kesi yao ilipopangwa kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali bila sababu za msingi.

CAF Wametangaza Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2018, Mbwana Samatta Je?

Image
NancyTheDreamtz Shirikisho la soka Afrika CAF leo limetangaza majina 34 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2018, majina hayo yametajwa lakini kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili mfululizo mtanzania Mbwana Samatta anayecheza club ya KRC Genk ya Ubelgiji, jina lake halipo. Samatta ambaye ni mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa mwaka 2015 kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani ya Afrika, kwa miaka miwili iliyopita jina lake lilibahatika kuingia katika 30 bora ya wachezaji wanaowania tuzo hiyo, licha ya jina lake kuenguliwa katika hatua za awali. FULL LIST YA WANAOWANIA TUZO ZA CAF 2018

Breaking News: Rais Georg Bush Afariki Dunia

Image
NancyTheDreamtz Rais wa zamani wa Marekani George H.W. Bush (Baba yake na Rais Bush aliyemuachia Obama madaraka) amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94 huko mjini Houston, msemaji wake Jim McGrath amethibitisha kifo chake. Rais huyo wa zamani wa Marekani aliongoza kwa awamu moja tu akiingia madarakani mwaka 1989 na kuondoka 1993 hivyo kubaki kama Rais pekee aliyeiongoza Marekani kwa awamu moja

Natamani Sana na Mimi Niwe na Mtoto Wangu Seema Ramani Azisomi- Amber Lulu

Image
NancyTheDreamtz MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amesema amekuwa akitamani na yeye aitwe mama kama ilivyo kwa wenzake lakini namna ya kumpata mtoto ndiyo anashindwa kujua kwani ‘ramani haisomeki’. 

Aunt Ezekiel Adaiwa Kodi ya Pub Mwenyewe Afunguka Haya

Image
NancyTheDreamtz STAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel baada ya kudaiwa kukosa kodi ya kulipia pango la Pub yake iliyopo Kinondoni jijini Dar na kuifunga, mwenyewe amefungukia madai hayo na kueleza kilichotokea.  Akizungumza na Risasi Jumamosi, Aunt alisema siyo kwamba amefunga Pub yake kwa sababu ya kudaiwa kodi bali eneo hilo anataka kufanya biashara nyingine na hiyo ya pub ataihamishia sehemu nyingine. “Kwa nini nidaiwe kodi wakati nina biashara nyingine nafanya na zinaenda vizuri? Watu huongea vitu ambavyo hawavijui kabisa, nafanya marekebisho ili niweke biashara nyingine na hii nitaihamishia sehemu nyingine,” alisema Aunt.

Hamonize, Wolper Mapenzi Kama Yote Ampigia Magoti Wolper Stejini

Image
NancyTheDreamtz HARMONIZE alivyompigia WOLPER magoti Stejini, MAUNO Kama yoteee!! Ni usiku Wa Wasafi Festival mkoani Iringa kwenye kiwanja cha Samora ambapo limeangushwa bonge moja LA burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali Wa Wcb na wengine wengi akiwemo Linah, Dudu Baya, Gigy Money, Country BOy. Ilipofika zamu ya Mmakonde Harmonize, Anafanya surprise kwa kumuita ‘X’ wake mbongo movie, Jacqueline Wolper, na Kisha kucheza nae Hali iliyozua shangwe LA kufa mtu kwa wana iringaa. Baada ya Iringa tamasha LA Wasafi Festival litahamia Morogoro ambapo burudani itaangushwa usiku WA Disemba 02, katika uwanja WA Jamhuri kwa kiingilio cha elfu kumi tu.

Waziri Mkuu: Serikali Inafanya Mapitio Ya Leseni Za Uchimbaji

Image
NancyTheDreamtz WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya mapitio ya leseni zote za uchimbaji wa madini na zile ambazo zitabainika kuwa hazijafanya kazi kwa muda mrefu zitachukuliwa na kisha maeneo hayo hayo yatagawiwa kwa wachimbaji wadogo. Amesema Wizara ya madini imeimarishwa  na sasa inatengeneza fursa kwa ajili ya wachimbaji wadogo ili waweze kunufaika na rasilimali hiyo muhimu inayopatikana katika maeneo mbalimbali nchini ikiwa ni pamoja na Mji Mdogo wa Katoro. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Novemba 30, 2018) wakati akizungumza na wananchi katika Mji Mdogo wa Katoro uliopo kwenye Halmashauri ya wilaya ya Geita, akiwa kwenye siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Geita. Waziri Mkuu amewaambia wananchi hao ambao wengi wao ni wachimbaji wadogo kuwa waendelee kuwa na imani na Serikali yao ambayo imedhamiria kuhakikisha wachimbaji hao wanafanya shughuli zao bila ya kubugudhiwa. “Jipangeni kwa kufanya kazi maeneo yapo na Serikali itawapa. Nawashauri mji

CAF limeipokonya uenyeji wa AFCON 2019 taifa la Cameroon

Image
NancyTheDreamtz Shirikisho la soka Afrika CAF baada ya kikao cha kamati ya utendaji cha shirikisho hilo kukutana nchini Ghana katika jiji la Accra, wamekubaliana kwa pamoja kuipokonya wenyeji wa fainali za mataifa ya Afrika nchi ya Cameroon zilizopangwa kuchezwa mwakani 2019. CAF wametangaza kuipokonya uenyeji Cameroon na kutangaza taifa linalotaka kuwa mwenyeji litume maombi ndani ya mwezi kutokea sasa, kabla ya shirikisho hilo kufunga zoezi hilo na kufanya uamuzi baada ya kupitia maombi ya mataifa hayo licha ya Morocco kuwa inaweza kupewa uenyeji. Uamuzi huo wa CAF unakuja ikiwa zimepita siku chache toka shikisho hilo  litume wajumbe wake nchini Cameroon kwenda kukagua mambo mbalimbali, hivyo inatajwa inawezekana miundombinu au hali ya usalama ndio imepelekea kufikia maamuzi hayo japo haijatajwa sababu rasmi.

Diamond: Wasafi Festival ndio show namba moja nchini, huwezi kutaja muziki bila WCB ni uongo (Video) Yasini Ngitu 2 hours ago

Image
NancyTheDreamtz Rais wa WCB, Diamond Platnumz amedai show za Wasafi Festival ndio show namba mmoja nchini Tanzania kwa sasa kutokana na kuwakutanisha wasanii wakubwa kwa wakati mmoja. Platnumz amedai show nyingi ambazo zinafanyika bila wasanii wa WCB ni show za kawaida kutokana na kukosa wasanii wakubwa ambao wanatoka kwenye label hiyo kubwa ya muziki. “Kusema kweli nategemea show zote za Wasafi Festival zijaze sana kwa sababu sisi hatujaonekana kwenye mikoa kwa muda mrefu, hatujawahi kuzunguka kwenye mikoa kwa muda mrefu. Halafu uzuri wa show zetu tunachanganyika wasanii wa WCB na wasanii wengine, lakini show nyingine sisi tunakuwa hatupo. Hii ina maana hizi ndio show namba moja nchini kwa sasa, ndio show ambazo zinawakutanisha wasanii wote, show nyingine huwezi kutaja muziki bila kutaja WCB,”

Rayvanny: Kushindana na Diamond ni ngumu, kila siku na kitu kipya kikubwa (Video)

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Rayvanny amefunguka kwa kudai kwamba ni ngumu sana kushindana na bosi wake Diamond Platnumz kwenye muziki kwani ni msanii ambaye anafanya mambo mapya ya kushangaza kila kukicha. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kwa sasa yeye anaendelea kujifunza mambo mengi kutoka kwa Rais huyo wa WCB. Rel

Gigy Money afunguka alivyomtwanga ngumi mwanaume baada ya kushikwa sehemu nyeti (Video)

Image
NancyTheDreamtz Video Vixen Gigy Money amefunguka kukizungumzia kipande cha video ambacho kilikuwa kinamuonyesha akimtwanga ngumi mwanaume sehemu za siri. Muimbaji huyo ambaye alikuwa mmoja kati ya wasanii waliofanya show kwenye tamasha la Wasafi Festival Iringa, ameiambia Bongo5 kwamba ni kweli alimtwanga ngumi mwanaume huyo baada ya kushikwa sehemu zake nyeti bila ridhaa yake.

Wasanii wa Kings Music ya Alikiba waja na kitu kipya, warembo kama wote kwenye video

Image
NancyTheDreamtz Wasanii wa Kundi la Kings Music la muimbaji Alikiba, Jumamosi hii wameachia kazi mpya ambayo imepokelewa kwa shangwe na mashabiki wengi wa muziki. Ndani ya kazi hiyo Alikiba hajaimba licha ya kuonekana huku wasanii wanaounda kundi hilo kila akionekana kumkazia mwenzake. Related Articles