Posts

Showing posts from July 21, 2022

Mfahamu Kiundani IGP Mpya Camilius Wambura, Mrithi wa Simon Sirro

Wote tunafahamu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Julai, 2022 amefanya uteuzi ambapo amempandisha cheo Kamishna wa Polisi Camillus Mongoso Wambura, aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP akichukua nafasi ya Simon Sirro. Nimejawa na furaha kuona mtu makini ndani ya Jeshi la Polisi mwenye uzoefu na weledi anakabidhiwa majukumu makubwa ya kuliongoza Jeshi letu la Polisi. Hakika CAMILIUS WAMBURA ni mtu sahihi mno. Wengi wetu tunaofuatilia utendaji wa Jeshi la Polisi nchini tulitegemea mabadiliko kufanywa hususani katika nafasi hii muhimu ili kupatikana mtu anayeendana na kasi na dira ya serikali ya awamu ya sita. Baadhi ya nyadhifa na majukumu ndani ya Jeshi la Polisi yaliyowahi kufanywa na IGP CAMILIUS WAMBURA ni pamoja na; 1. Kamanda wa Polisi Mkoa Maalum wa Kipolisi – KINONDONI 2. Afisa Mwandamizi wa Jeshi la Polisi- Makao Makuu 3. Mkurugenzi wa Operesheni-

MANGE Kimambi Amlipua Salama SK Kisa P-Funk Majani, "Umefanya Nini Kwenye Muziki wa Bongo zaidi ya Majungu"?

Ameandika haya Mange Kimambi: Wasafi, Majani ana matatizo yake ila amewaambia ukweli. Na badala ya kumjibu kwa facts nyie mnaenda kwenye personal attacks zinazohusu Harmonize kumtomb** familia yake, ila kipindi kile Ommy Dimpoz alipoongelea kumtomb** Dai mamake mlikasirika sana kwasababu kaingiza mambo ya family. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu…. Alichosema Majani ilibidi kijibiwe kwa facts, Dai mwenyewe alisema kwa mdomo wake kuwa alibeba wimbo wa Mbosso kwenye FOA, je alimpa rights zake juu ya ule wimbo? Naongea sababu kumbukeni Wasafi mliingia mjini kwa kumchafua Ruge Mutahaba kwa kukandamiza wasaniii, haya nyie leo mnafanya nini? Mlivyoingia mjini mlibeba wasaniii woooote wa zamani ambao walikuwa hawaelewani na Clouds,kina Dudubaya sijui nani mkadai hao wasanii walipotea sababu ya Ruge, haya mliishia wapi na wale wasanii? Mbona hamko nao tena? Mlidhani kazi ya kudili na wasanii ni rahisi? Kila msanii wa wasafi akipata jina tu anasepa zake hiyo yote ni sababu ya mkataba m

Simon Msuva "Ninawashukuru Sana Watanzania Wenzangu Niko Tayari Kuanza Upya"

Kiungo Mshambuliaji wa Tanzania Simon Msuva ametoa shukurani kwa wadau wa Soka La Bongo baada ya kukamilisha mpango wa kupata klabu mpya. Msuva amekamilisha usajili wa kujiunga na Al Qadsia ya Saudi Arabia, baada ya kumaliza kesi yake na Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco, iliyoendeshwa na FIFA kwa zaidi ya miezi sita. Kuungo huyo ametumia muda wake kwa kutoa ujumbe mzito wa shukurani kwa Wadau wa Soka La Bongo, kufuatia kuonyesha kuwa naye katika kipindi chote alichokuwa na matatizo. “Naomba nichukue fursa hii kusema asante. Nilipata matatizo na klabu yangu ya hapo awali Wydad Athletic na nilirudi nyumbani kupumzika huku nikiwa nasubiri hatma yangu juu ya matatizo ambayo yaliweza kutokea baina yangu na uongozi wa timu” “Nawashukuru pia Watanzania wote ambao walikuwa pamoja na mimi kwenye kipindi chote kigumu ambacho nilikuwa napitia” “Namshukuru Mama yangu na Baba yangu kwa maneno mazuri yaliweza kunitia nguvu kila niamkapo, bila kusahau familia yangu yote kwa ujumla, mara