ACT - Wazalendo imempitisha Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais Zanzibar



Mkutano Mkuu wa Chama cha ACT - Wazalendo umempitisha Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais Zanzibar kwa chama hicho baada ya kupata kura 419 sawa na asilimia 99.76 ya kura zote huku akikosa kura moja sawa na asilimia 0.24.

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais