ACT - Wazalendo imempitisha Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais Zanzibar



Mkutano Mkuu wa Chama cha ACT - Wazalendo umempitisha Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais Zanzibar kwa chama hicho baada ya kupata kura 419 sawa na asilimia 99.76 ya kura zote huku akikosa kura moja sawa na asilimia 0.24.

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake