ACT - Wazalendo imempitisha Bernard Membe kuwa mgombea urais


Mkutano Mkuu wa Chama cha ACT - Wazalendo umempitisha Bernard Membe kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa kura 410 sawa na asilimia 97.61 ya kura zote huku akikosa kura 10 sawa na asilimia 2.39.
NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais