Posts

Showing posts from September 29, 2018

this how to Repair Printers

Image
NancyTheDreamtz

HIVI NDIVYO WEMA SEPETU ANAVYOFANYA YAKE KIMYA KIMYA

Image
NancyTheDreamtz

HOW TO WAPTRICK VIDEO

Image
NancyTheDreamtz

FOOTBALL SKILLS BY NANCY ARTHUR NYANDICHE

Image
NancyTheDreamtz

THIS IS A BONGO FLEVA HIT SONGS 2018 TANZANIA

Image
NancyTheDreamtz

Video: Wema Sepetu alivyodamshi usiku wa Birthday Gala, afunguka mengi hukumu maisha yake

Image
NancyTheDreamtz Ijumaa hii ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya mwanadada wa filamu, Wema Sepetu ambapo aliandaa tukio maalum Birthday Gala katika ukumbi wa Mlimani City na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa filamu wakiwemo wasanii.

Harmonize alikaribisha kundi la muziki la Navy Kenzo WCB wasafi kwa staili ya aina yake

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania na katika lebo ya muziki iliyochini ya Diamond Platnumz Harmonize ametangaza kuwakaribisha kundi la muziki la Navy Kenzo katika lebo hiyo ya Wasafi. Harmonize alitumia ukurasa wake wa Instagram kutangaza kuwa karibuni ” Nisaidieni kuwakaribisha NavyKenzo usafini mimi huwa sipendagi mambo ya siri siri kwani tunamuogopa nani ???? Welcome to the family #WCB4LIFE” lakini baada ya kutangaza kuwakaribisha wasanii hao wawili nao wali-reply kwa Harmonize Aika akiandika huku akianza na kuweka emoji za kucheka ” Ni usafi tu ” na kumtag tena Harmonize. Kundi hilo la Navy Kenzo linaundwa na wasanii wawili ambao ni Nahreel pamoja na mke wake Aika,lakini pia likiwa chini ya meneja Sallam Sk ambaye pia ni meneja wa C.E.O wa lebo ya Wasafi namaanisha Diamond Platnumz. Kupitia ujumbe huo wa Harmonize inawezekana tukaanza kuwaona Navykenzo yaani Aika na Narel wakianza kufanya kazi na kutoa nyimbo wakiwa chini ya WCB Wasafi

MUSIC VIDEO: Mycoely – Ringa

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mycoely anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya wa Ringa, Kichupa kimeongozwa na Adam Juma. Enjoy!

Kwa hiki alichoposti msemaji wa Yanga ni ishara ya matokeo ya kesho dhidi ya mnyama Simba ?

Image
NancyTheDreamtz Kuelekea mchezo wa Kariakoo Derby hapo kesho ambao utawakutanisha miamba ya soka nchini Simba SC dhidi ya Yanga, msemaji wa wanajangwani Young Africans, Dismas Ten ameandika ujumbe kwenye ukurusa wake wa kijamii wa Instagram unaoashiria matokeo yatakavyokuwa baada ya mechi hiyo. Ten ameandika ujumbe mfupi kwenye ukurasa huo wa Intsagram unaosomeka 1 – 4 ambayo namba moja inawakilisha rangi nyekundu ya watani zao Simba huku namba nne ikiwakilisha rangi ya Yanga. Kumekuwa na utani wa hapa na pale kila inapokaribia mechi ya watani hawa wa jadi aidha iwe kwenye ligi kuu ama mashindano mengine na matokeo ya mchezo wao huwa hayaamuliwi kwa ubora wa timu fulani au ukubwa wa usajili wake na kharama zilizotumika bali siku zote huwa ni matokeo ya kushangaza. Simba itakuwa mwenyeji kwenye mchezo huo wa hapo kesho ambao unatarajiwa kuchezwa majira saa 11 za jioni huku mgeni ramsi akiwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai.