TANZIA: Kofi Annan afariki dunia

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan amefariki dunia leo Agosti 18, 2018 nchini Uswisi baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Mwanadiplomasia huyo kutoka Ghana, Annan amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80 huku akiwahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kati ya mwaka 1997 na 2006.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametuma salamu za rambirambi baada ya kifo cha Annan huku akimwagia sifa kuwa alikuwa msimamizi elekezi wa mema.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais