RayVanny: Sio ishu kutoka kimapenzi na kila staa, sitaki nije nijute baadae (Video)

Msanii wa muziki kutoka WCB, Rayvanny amesema hataki kabisa ishu za kubadili wasichana kama wanavyofanya baadhi ya wasanii wa muziki. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anakaa na mpenzi wake pamoja na mtoto wake mmoja, ameiambia Bongo5 kwamba ataishi maisha yake ili asije kujuta huku baadaye.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais