Naomba Mungu ipo siku nitaacha muziki, nataka tu kuacha nimpumzike kabisa – Mr Blue

Muda wowote kuanzia sasa hivi huwenda rapa mwenye mafanikio makubwa katika muziki wa Hip Hop, Mr Blue akaacha kufanya kabisa muziki. Amesema mke wake amekuwa akimshauri hivyo kwa muda mrefu kitu ambacho kimemfanya aanze kufikiria kuchukua uamuzi wa kuachana na muziki ili aswali.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais