Naomba Mungu ipo siku nitaacha muziki, nataka tu kuacha nimpumzike kabisa – Mr Blue

Muda wowote kuanzia sasa hivi huwenda rapa mwenye mafanikio makubwa katika muziki wa Hip Hop, Mr Blue akaacha kufanya kabisa muziki. Amesema mke wake amekuwa akimshauri hivyo kwa muda mrefu kitu ambacho kimemfanya aanze kufikiria kuchukua uamuzi wa kuachana na muziki ili aswali.

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake