Kwa mara ya kwanza Davido asafiri na ndege yake binafsi

Msanii wa muziki kutokea nchini Nigeria, Davido mara baada ya kuweka wazi kuwa amenunua ndege binafsi, sasa ameanza kupaa nayo.

August 17, 2018, Davido aliingia katika vitabu vya kumbukumbu kuanza kutumia ndege hiyo kwa mara ya kwanza.

Davido ameipa ndege hiyo jina la OBO - Omo Baba Olowo (Maana yake ni Mtoto wa Tajiri) unaweza kuiita kuwa ndege ya mtoto wa tajiri, ilipaa Davido akiwa na mpenzi wake kuelekea Cotonu.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais