Zoezi la Kubinua Kivuko cha MV. NYERERE Limefikia Pazuri..Tazama Video

NancyTheDreamtz
Leo September 24, 2018 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Venance Mabeyo amesema zoezi la kukinasua Kivuko cha Mv. Nyerere limefikia pazuri tayari wamekiinua upande mmoja na wana matumaini kitatoka vizuri.

“Wameanza kukinyanyua kwenye injini, ili kukinyanyuliwa kije juu kielee lakini sasa kinafungwa maboya kwa chini, tunaandaa pampu ili kikichota maji yaweze kunyonywa, tuwe na matumaini kivuko kitatoka vizuri” -Mabeyo
VIDEO: 

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais