Wasanii Wengi Hawaweki Maisha yao Halisi Katika Mitandao:-JB

NancyTheDreamtz
Msanii wa bongo movies jacob steven amefunguk na kusema kuwa wasanii wengi wa bongo movies wako tofauti sana  na wale wa bongo fleva kwa sababu hawaweki uhaisia wa maisha yao na kazi yao katika mitandao yya kijamii kitu ambacho kiko tofauti sana.

JB anasema kuwa ukiangaia profile nyingi za bongo fleva artst utagundua tu kwa urahisi kuwa huyu ni msanii wa muziki lakini inakuwa ngumu sana kwa wale waigizaji kuweka profile yake hadharani kama wanavyofanya wengine.

akiongea na waandishi wa habari JB Anasema ‘wasanii wengi wa bongo movies hawawekagi maisha yao halis katika mitandao, tofauti sana na wale wa bongo fleva ambao wao  ukichungulia tu akaunti zao unakuwa unajua kuwa huyu ni msanii.hii yote ni kwa sababu ya watazania wengi ni malimbukeni wa matumizi ya mitandao ya kijamii.’

Ujumbe huu wa JB unawaendea moja kwa moja wasanii wanaotaka kuishi maisha  ambayo sio ya kwao, Jb anasema kuwa ni bora kuwa muwazi ili shabiki anapoamua kukukubali basi inakuwa amekubali kwa sababu ya vile ulivyo na sio tofauti.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais