Skip to main content

Audio: Diamond sio husband material, ametembea na wengi sana – Hamisa Mobetto

NancyTheDreamtz
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amedai mzazi wenzake Diamond Platnumz sio aina ya wanaume ambaye alikuwa anamwitaji katika maisha yake. Amedai muimbaji huyo ni mwanaume wa kutembea na wanawake wengi na hawezi tulia na mmoja huku akidai nchini Tanzania ametembea na wanaume wengi sana.

Related Articles

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake