Skip to main content

Audio: Diamond sio husband material, ametembea na wengi sana – Hamisa Mobetto

NancyTheDreamtz
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amedai mzazi wenzake Diamond Platnumz sio aina ya wanaume ambaye alikuwa anamwitaji katika maisha yake. Amedai muimbaji huyo ni mwanaume wa kutembea na wanawake wengi na hawezi tulia na mmoja huku akidai nchini Tanzania ametembea na wanaume wengi sana.

Related Articles

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais