Utajuaje Kuwa Mwanamke Ana Fake Ama Unamfikisha Wakati wa Mechi ya Raha Tupu ?

NancyTheDreamtz

Haya jamani katika pitapita zangu kwenye Mitandao yetu ya mawasiliano nimekutana na Posti hii, Imenivutia na nimeona Si mbaya kuwagawia wadau wangu wa Udaku Specially

Note: Nimeikopi kama nilivyoikuta.


DALILI ZA MWANAMKE ANAE FOJI KILIO
WAKATI WA  RAHA TUPU ILI AKUTEKE KIHISIA
ILI UJUE NAWEWE WAMO KUMBE HAUMO..

1.Analia mfulululizo kama kinanda cha
parokia bila kubadili key wala Tyun.

2.Anaaongea english nyingi za kwenye movies za pilau

3.Anarudia maneno yale yale kuanzia dakika ya kwanza hadi ya 90 kama script ya bongo move

4.Mtu analia kama Suzuki inapanda mlima 

5. Kinanda si Kinanda Gitaa si gitaa mlio
haubadiliki..FEKI

6. Anafoji Orgasm za kiingereza kama
za Movies za x Ohh yeah bless me with
it, dig it deeper,Touch my Soul like that, Oh
babe be my Vampire take all the Blood, Hit me and leave me breathless...

Hivi kweli utamu umenoga utakumbuka kuhusu kuunga Present continuous Tense kweli hadi kipatikane kilio??FEKI HUYO..

7.Ukiacha Wachaga ambao wao kilio chao ni Automatic kama AC za gesti, mtu analia kwa Script, Analia Oh yeah mara 2, Ohh Yes mara 3..halafu Oh yeah mara 2 tena,halafu
Pozi..Mara anauliza where have u been
jamani...NILIKUWA KWETU!...

Heri Wachaga hatuwalaumu, maana wao dude likipita penyewe ni mwendo wa Kiruuuu Yeuwiii..Yesu wangu Nini hiyo
umeingiza...Baba Klaree Puliza

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais