Msuva afunguka sababu ya kutoka sare na Uganda

NancyTheDreamtz

Mshambuliaji wa klabu ya soka ya EL Jadida ya Nchini Morocco amesema licha ya kutoka sare katika mchezo wao dhidi ya Uganda katika uwanja wa mandela.

Akizungumza na Global TV Saimoni Msuva amesema licha ya kupata matokeo mabaya ugenini amesema uwanja ulichangia kufanya wao wasipate matokeo mazuri dhidi ya Uganda.

Kwa upande mwengine mshambuliaji huyo amewataka wachezaji waki Tanzania kuwa na hali ya Uthubutu ilii kuweza kufikia malengo yao.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais