Mukutano mkuu CHADEMA umepitisha majina matatu



Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA, umepitisha majina matatu ya wanachama waliotia nia ya kuwania urais ambao ni Dk. Mayrose Majinge, Lazaro Nyalandu na Tundu Lissu. 


Kati ya majina hayo, baraza leo litapendekeza jina moja litakalopitishwa na mkutano mkuu kesho kwa ajili ya kuwania urais kupitia CHADEMA katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu.


NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais