Skip to main content

Simba yang’ara tuzo za ligi kuu msimu 2019/20, Chama mchezaji bora (+Video)

Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Simba SC imefanikiwa kutawala tuzo za ligi kuu msimu huu wa mwaka 2019/20 kwa kuondoka na tuzo nyingi na muhimu zikiwemo mchezaji bora, mfungaji bora, golikipa bora, kocha bora na nyingine.


NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo