Skip to main content

Mwijaku na Soudy Brown watupa dongo, muziki wa Mavoko ulitekwa na maharamia sasa tumeurudisha (+Video)

Katika tukio la uzinduzi wa Minitape ya @richmavoko yenye ngoma nane limeweza kufunguliwa Kwa style ya aina yake kwa madensa wake kuingia na ngoma ya Kihindi.

Baada ya hapo watangazaji wa Clouds Fm @mwijaku na @soudybrown waliweza kuongea na @mwijaku kutupa dongo gizani akisema muziki wa Mavoko ULITEKWA na Maharamia na sasa umerudishwa.


NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais