Paul Makonda Kashindwa Kujizuia Katoboa Siri ya Diamond Platnumz Kwenda Kulipa Mahari

Mh Paul Makonda  Amethibitisha Mwezi Ujao Yeye Akiambatana Na Diamond Platnumz Kwenda Kutoa Mahari ,Japo Mwanamke Anayetaka Kuolewa Na Diamond Platnumz Hajawekwa Wazi Ni Yupi...Ameyasema hayo akiwa kwenye Sherehe ya harusi ya Esma Platnumz Usiku uliopita

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo