Skip to main content

Wasanii wa Kings Music ya Alikiba waja na kitu kipya, warembo kama wote kwenye video

NancyTheDreamtz
Wasanii wa Kundi la Kings Music la muimbaji Alikiba, Jumamosi hii wameachia kazi mpya ambayo imepokelewa kwa shangwe na mashabiki wengi wa muziki. Ndani ya kazi hiyo Alikiba hajaimba licha ya kuonekana huku wasanii wanaounda kundi hilo kila akionekana kumkazia mwenzake.

Related Articles

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais