Skip to main content

Wasanii wa Kings Music ya Alikiba waja na kitu kipya, warembo kama wote kwenye video

NancyTheDreamtz
Wasanii wa Kundi la Kings Music la muimbaji Alikiba, Jumamosi hii wameachia kazi mpya ambayo imepokelewa kwa shangwe na mashabiki wengi wa muziki. Ndani ya kazi hiyo Alikiba hajaimba licha ya kuonekana huku wasanii wanaounda kundi hilo kila akionekana kumkazia mwenzake.

Related Articles

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo