PICHA: Mgombea Ubunge wa Buyungu-CCM Christopher Chiza akipokea Hati yake ya Ushindi

Mgombea Ubunge wa Buyungu-CCM Christopher Chiza akipokea Hati yake ya Ushindi baada ya kutangazwa mshindi kwa kura 24,578 akifuatiwa na Eliya Michael-Chadema aliyepata kura 16,910.

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake