MUSIC AUDIO: Fid Q aachia wimbo wa dakika 7 ‘Kiberiti’ akiwa na Saida Karoli, awataja Alikiba, Gwajima, Bashite na Rayvanny

Yes! Rapper Fid Q ameachia ngoma yake mpya ya Kiberiti ambayo amemshirikisha Muimbaji Saida Karoli. Wimbo huo wenye dakika 7 ameelezea mambo mengi yanayohusu maisha ya kawaida.
Kwenye mashairi ya wimbo huo ametaja majina ya watu wengi yakiwemo Alikiba, Rayvanny na Askofu Gwajima huku Saida Karoli akipita na kiitikio (chorus ).
Mdundo wa ngoma hii umetengenezwa na Lufa kutoka Wanene Studio na mixing imefanywa na Chizan Brain.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais