Mwanamitindo aeleza kuumia baada ya Vanessa Mdee kuacha muziki, Nilitamani kufanya nae kazi (+Video)

Msanii na Mwanamitindo Chrispnin amefungukamengi kuhusu kazi yake ya uanamitindo na kazi yake ya uigizaji.

Akiongea na Bongo5 ameeleza kuwa kazi ya Uanamitindo ni kazi ngumu sana na inayohitaji uvumilivu na kwa mara nyingine watu huwaponda na kuwaambiakuwa wanafanya kazi hiyo ili wapate wanawake kumbe sivyo bali wanafanya kwa ajili ya maisha.

Ameongeza kuwa katika kazi yake ya Uanamitindo alikuwa anatamani sana kufanya kazi na Vanessa Mdee ila ameumia sana baada ya Vanessa kutangaza kuachana na muziki.

“Niliumia sana Vanessa alipotangaza kuacha muziki ila naamini kuna siku ntafanya nae tu”

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais