Jeuri ya pesa kati Diamond na familia ya Msizwa, ni mashindano (Video)

Leo mtanange wakushindana kumtuza pesa bibi harusi kati ya Wasizwa ambao wamekuoa @_esmaplatnumz pamoja na @diamondplatnumz .

 

Mchuano ulikuwa mkali sana kati ya familia hizo mbili ingawa kulikuwa na changamoto za kubishana.

Hebu angalia mtanange halafu utoe maksi zako.

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais