Jeuri ya pesa kati Diamond na familia ya Msizwa, ni mashindano (Video)

Leo mtanange wakushindana kumtuza pesa bibi harusi kati ya Wasizwa ambao wamekuoa @_esmaplatnumz pamoja na @diamondplatnumz .

 

Mchuano ulikuwa mkali sana kati ya familia hizo mbili ingawa kulikuwa na changamoto za kubishana.

Hebu angalia mtanange halafu utoe maksi zako.

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

Jokate Aapa Kupambana na Wazazi, Walezi Wasiowapeleka Watoto Shule

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania