Mpenzi wa Rapper Snitch Ajulikanaye Kama Tekashi 69 Ametangaza Kuwa na Ujauzito Baada ya Tekashi Kuachiwa Huru


Siku 4 baada ya Tekashi 69 kumaliza kifungo chake, sasa yupo tayari kulea familia yake na mtoto mwingine.

Mpenzi wake, Jade ametangaza kuwa na ujauzito. Kupitia instagram yake juzi (@__ohsoyoujade) aliweka wazi hilo. Bado Tekashi hajathibitisha taarifa hizo kwa upande wake, lakini huyu atakuwa mtoto wa pili kwa wawili hao

NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Kila Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

Jokate Aapa Kupambana na Wazazi, Walezi Wasiowapeleka Watoto Shule

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania