Mkwassa Apigwa Chini Yanga



Kamati ya ufundi ya klabu ya Yanga imefanya mabadiliko kwenye benchi la ufundi la kalbu hiyo kwa kuacha na kocha msaidizi Boniface Mkwassa na kuwapangia majukumu mengine baadhi ya watendaji wa benchi hilo.

Uamuzi wa Yanga umetangazwa leo na mwenyekiti wa kamati hiyo Dominick Albunis kwa lengo la kuleta mabadiliko ya kiundetaji wa klabu hiyo.

Kwenye taarifa iliyotolewa na Yanga wengine walitolewa kwenye benchi la ufundi ni kocha wa makipa Peter Manyika na meneja wa timu Abeid Mziba, kit manager Fred Mbuna ambao kwa pamoja watapangiwa Majukumu mengine.
NancyTheDreamtz

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais