CHOMBO KWA HEWA: Wasafi FM yaanza kusisikika Dar Es Salaam, ni muziki kwenda mbele

NancyTheDreamtz
Kama upo Dar Es Salaam na ume-Tune Frequency za 88.9 FM na unasikiliza mixing za hatari basi jua kuwa hiyo ni redio mpya hapa mjini ya Wasafi FM.
Hata hivyo, ishu imesanukiwa na wadau tu, kwani Mkurugenzi mwenyewe Diamond Platnumz hajazungumza chochote kuhusu mitambo hiyo kuwashwa.
Mwanzoni mwa mwezi huu, Diamond ali-tweet kwa kuandika “Naombeni ruksa niwashe Wasafi FM“.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais