Wema Sepetu ataja sababu za kufanya Movie yake na wasanii wa Ghana bila kumshirikisha msanii yeyote wa Kitanzania (Video)

NancyTheDreamtz
Msanii wa Bongo movie pia aliyekuwa miss Tanzania 2006 Wema Sepetu amefunguka mwanzo mwisho kuhusu sanaa nzima ya Bongo movie. Msanii aliongea hayo wakati anaongea na waandishi wa habari juu ya movie yake ya D.A.D ambaye aliamua kwenda kuifanyia nchini Ghana na msanii kutoka nchini humo ambaye ni Van Vicker.


Wema alisema ” Niliamua kwenda kufanya muvi huko ili kubadilisha mazingira kidogo ya uigizaji kwani kama movie za Kitanzania na Kiswahili tulishafanya sana” aliongeza “Mimi ndio niliyemtafuta Van Vicker ili tufanye kazi lakini pia nilimwambia atafute waigizaji yeye mwenyewe anaona wanafaa”

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais