Picha ya Wanjara na Mwanamke Mwenzie Yazua Utata

NancyTheDreamtz
Picha ya Wanjara na Mwanamke Mwenzie Yazua Utata
Mwanadada Rashida Wanjara ambae aliwahi kushiriki taji la miss tanzania mwaka 2000 alikumbwa na tetesi za kuwa na tabia zisizo sawa baada ya kuonekana katika picha zilizosambaa mitandaoni akiwa na mwanamke mwenzake wakiwa katika pozi tata.

Hata hivyo mwanadada huyo anaonekana kutokujali kuhusu maneno hayo na kusema kuwa hawezi kuwazuia watu kufikiria vile wanavyotaka kufikiria hata siku moja.

Huwezi kuwazuia watu kufikiria vile wanavyofikiria kwa sababu kumbusu mwanamke mwenzangu wala sio kosa, na ni kitu cha kawaida sana na hakuja jambo baya wala la ajabu na hakuna cha zaidi

Hii imekuwa ni tabia ya mastaa wengi wa kike kupiga picha tata na wanawake wenzao kitendo kinachowafanya mashabiki kupoteza imani nao.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais