Posts

Showing posts from October, 2018

Primitive Boys Saves Family Cats From Python Attack - Python Attack Ca...

Image
NancyTheDreamtz

ZOEZI LA UVAMIZI WA BANK

Image
NancyTheDreamtz

JESHI la Tanzania Mafunzo yake ni Hatari JWTZ Itazame Hii Kabla hujaamu...

Image
NancyTheDreamtz

RC Makonda Awatangaza mashoga hadharani leo

Image
NancyTheDreamtz

Waziri Mkuu Aagiza Eneo La Kiomoni Litathminiwe.....Ni baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wanancho juu ya kutoridhishwa na fidia

Image
NancyTheDreamtz WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema atamuagizaMthamini Mkuu wa Serikali Bibi. Evelyne Mugasha kwenda katika Kata ya Kiomoni kufanya tathmini ya ardhi ya wananchi ili kubaini thamani halisi ya maeneo hayo ili wananchi waweze kufidiwa. Hatua hiyo inakuja baada ya wananchi hao kumlalamikia Waziri Mkuu kuhusu kutoridhishwa na fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na kampuni ya Neelkanthinayomiliki kiwanda hicho cha kuzalisha chokaa. Waziri Mkuu ametoa agizo hilo jana jioni (Jumanne, Oktoba 30, 2018) wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Kiomoni katika mtaa wa Kiomoni wilayani Tanga akiwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Tanga. Alisema atamtuma Mthamini Mkuu aende kubaini nani anadai nini na anamiliki nini ili atoe kibali cha ulipwaji ili muwekezaji aweze kupewa kibali cha kuwalipa fidia yao.”Tunataka jambo hili liishe kabla ya mwishoni mwa mwaka huu kila kitu kiwe kimekamilika na hakuna mwananchi hata mmoja atakayepoteza h

Wimbo Mpya wa Godzilla - My Lamborghini Doors

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki wa hip hop Bongo,  Gozilla  anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao  My Lamborghini Doors . Itazame hapa.

Video Mpya ya Victoria Kimani - Highest Calibre

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki kutoka nchini,  Victoria Kimani  ameachia video ya wimbo wake mpya uitwao  Highest Calibre . Itazame hapa

Video Mpya: Hasanoo - Taa ya upendo

Image
NancyTheDreamtz Video Mpya: Hasanoo - Taa ya upendo

Video Mpya: Martha Mwaipaja - Nalifurahia. Itazame Hapa

Image
NancyTheDreamtz Msanii Wa Nyimbo Za Injili Nchini  Martha Mwaipaja  ametoa Video Mpya ya Wimbo Wake Uitwao  Nalifurahia. utazame Hapa Advertisement

Zitto aitwa polisi kuthibitisha madai ya mauaji ya watu 100 Kigoma

Image
NancyTheDreamtz Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limemtaka mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuwasilisha vielelezo vya madai  yake kuwa yametokea  mauaji eneo la Nguruka wilayani Uvinza mkoani humo na watu 100 kupoteza maisha. Jumapili iliyopita Oktoba 28,2018, Zitto alizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kudai kuwa takribani siku 10 zilizopita yalitokea mauaji hayo na taarifa alizonazo ni kuwa watu  zaidi ya 100,  wakiwamo polisi walikufa. Jana Jumanne, Oktoba 30, 2018, Kamanda wa polisi mkoani Kigoma, Martin Ottieno alizungumza na waandishi wa habari na kusema tuhuma alizotoa Zitto hazina ukweli wowote. Alisema  hakuna  watu 100 waliouawa na kusisitiza kuwa ni upotoshaji unaofanywa na wanasiasa. “Hakuna watu mia moja waliouawa. Tunamtaka Zitto aonyeshe vielelezo vya hayo anayosema au aje atuonyeshe makaburi ya watu hao anaosema wameuawa Kigoma, ”alisema Ottieno. Kamanda huyo amewataka  wanasiasa kuchukua tahadhali  kwa taar

Alichokisema Msanii Harmonize kuhusu kuachana na mpenzi wake, Sarah

Image
NancyTheDreamtz Msanii Harmonize amefunguka iwapo ni kweli ameachana na mpenzi wake, Sarah. Harmonize akipiga stori na Wasafi TV amesema hilo si la kweli bali Sarah amesafiri kwenda Italy ndio sababau hawaonekani pamoja kwa sasa. "Pia amesafiri yupo Italy muda kidogo, so nadhani ndio sababu hatupo pamoja," amesema Harmonize. Harmonize amekuwa na mahusiano na Sarah kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja na nusu mara baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Jackline Wolper.

Picha ya Ommy Dimpoz, Zari Yazua Gumzo

Image
NancyTheDreamtz Msanii wa muziki Bongo, Ommy Dimponz amekutana na Zari The Bosslady nchini Afrika Kusini. Bado haijajalikana iwapo Zari na Ommy Dimpoz walikutana location kwa ajili ya kutengeza video ya msanii huyo, hilo ndilo swali lililoko vichwani mwa mashabiki wengi kwa sasa. Zari ambaye anaishi Afrika Kusini ndiye ame-share picha hiyo kwenye Insta Story ikionyesha yupo pamoja na muimbaji huyo. Zari ni mzazi mwezie na Diamond Platnumz ambaye urafiki wake na Ommy Dimpoz uliingia doa miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali.

Maimatha Athibitisha Wema Kutapeliwa Zaidi ya Milioni 40 na Aliyemtangaza Future Husband

Image
NancyTheDreamtz Mwanadada mjasiliamali na Rafiki wa karibu wa mema sepetu ambaye ni Maimatha wa Jesse amethibitisha yale maneno ya watu yaliokuwa yanasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa wema ametapeliwa pesa zaidi ya milioni 40 ya yule mwanaume aliye mtangaza kuwa ni future husband. Kupitia ukrasa wake wa kijamii Maimatha amesema kuwa future husband wa Wema anatafutwa kwa kosa la kuwatapeli watu. ANATAFUTWA NA POLISI ............................................. Dah kumbe kweli lisemwalo kama halipo basi linakuja...huyu jamaa anaitwa Patrick hilo jina la Pck naskia ni la kutapeli watu😪 Naskia huju jamaa kweli amemtapeli wema kama million 40 hv😴 alizipata kwa mauzo ya movie ....(inauma sana) Naskia ndio tabia yake kutapeli wanawake....alibadilishaga na dini huko Dubai akamuoa mbibi mmoja hivi....huyo mbibi anafamilia yake kabisa.... Afu kumbe jamaa sio mnyarwanda wala nini kwao kumbe tabora....na unaambiwa anapenda kujisexisha na kuwapiga picha mbaya wanawake mwishowe anawa

"Huyu Musiba Anaweza Kuwa Hatari sana kwa Usalama wa Taifa" Nape Nhauye

Image
NancyTheDreamtz “Huyu Musiba anaweza kuwa hatari sana kwa usalama wa taifa hili ingawa watu wanamchukulia kama mtu aliyechanganyikiwa au anayejipendekeza, ni aibu sana mtu anazusha mambo mazito halafu anaachwa huru wakati wengine wamekamatwa kwa sheria ya mtandao kwa kuandika” Mbunge wa Mtama - Nape Nnauye #KwanzaHabari

Diamond Amtupia Mabegi nje Kim Nana, Penzi lao Lafika Ukingoni

Image
NancyTheDreamtz Lile penzi lililokuwa gumzo kwa muda wa siku chache zilizopita kati ya Diamond na mwanadada Kim nana limefika mwisho baada ya mwanadada huyo kutupiwa mabegi nje katika gate la Diamond Platinumz. Mwanadada huyo ambae nae alikuja kwa kasi bila kuangalia wanawake waliopita kwa Diamond walikuwa katika hali gani alijikuta akijihusisha kimapenzi na Diamond tena bila kuogopa penzi lao lilikuwa wazi kwa muda mfupi tu. Mwanadada hyo alitupiwa mabegi yake nje na kuamua kuita bajaji na kuamua kurudi nyumbani kwake kwani tayari alikuwa alishahamia nyumbani hapo madale. Kimnana hatokuwa mwanake wa kwanza kuwa na uhusiano na diamond na kufanyiwa udhalilishaji huu kama inavyodaiwa. Kimnana ambae anajihusisha na mambo ya video vixen ameweza kuvuma kwa muda mchache aliokuwa na Diamond na gafla imekuwa kimya.

Mfahamu mtoto wa kwanza wa Mr Nice, ni mrembo kweli (Picha)

Image
NancyTheDreamtz Mkali wa Takeu Style, Mr Nice Jumatatu hii ameamua kushare kwa mashabiki wake picha ya mtoto wake wa kwanza. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya shughuli za muziki wake nchini Kenya na Uganda, alipost mtandaoni picha za binti hiyo na baabaye mashabiki wakaanza kumtwanga maswali. “My first lovely queen,” aliandika Mr Nice baada ya kupost picha ya binti huyo. Akijibu maswali ya mashabiki wake, muimbaji huyo alimjibu mmoja kati ya mashabiki wake ambao walitaka kujua kuhusu binti huyo mrembo. Hata hivyo mrembo huyo ambaye anatumia jana la Leylah Mohamed kupitia mtandao wa Facebook, wamewahi kupost picha mbili za baba yake huyo. Related Articles

VIDEO: Zitto aibukia kwenye Korosho na usalama wa taifa ‘Tanzania imekuwa nchi ya watu kutekwa na kushambuliwa kwa risasi’

Image
NancyTheDreamtz Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amefunguka ishu ya Usalama wa Taifa la Tanzania kwa sasa na kuzungumzia sakata la Korosho leo Oktoba 28, 2018 kwenye mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam. Serikali Imevuruga Zao La Korosho, Imeshindwa Kulinda Ustawi na Usalama wa Raia A: Utangulizi Jana, Kamati ya Uongozi ya Chama cha ACT Wazalendo, ambayo ni Kikao cha Kikatiba ambacho wajumbe wake ni Viongozi wote wa juu wa chama chetu ilikutana katika kikao chake cha kawaida kujadili hali ya chama na hali ya nchi kwa ujumla. Pamoja na mambo mengine, pia Kamati ya Uongozi ya ACT Wazalendo ilitathmini mwenendo wa usalama wa nchi na hali ya Uchumi, hususan masuala yanayohusu wakulima na hasa uzalishaji wa zao la Korosho, zao linaloongoza kwa kuingizia nchi yetu Mapato ya Fedha za kigeni kuliko mazao yote kwa ujumla. Hivyo leo, tumewaita hapa kwa niaba ya Kamati ya Uongozi ili kupitia nyinyi tufikishe

Lema atinga Polisi na Gari ya Mwaka 1952 kabla ya Uhuru wa Tanzania

Image
NancyTheDreamtz

Cheka na vichekesho vya Hamorapa| Kafukuzwa na Meneja wake?/Kukutana na JPM

Image
NancyTheDreamtz

Vichekesho vya bongo star search

Image
NancyTheDreamtz

Professor Jay Feat Harmonize - Yatapita (Official Music Video)

Image
NancyTheDreamtz

Yemi Alade - Oh My Gosh (Official Video)

Image
NancyTheDreamtz

Morgan Heritage - Africa x Jamaica feat. Diamond Platnumz & Stonebwoy (O...

Image
NancyTheDreamtz

Leopard Vs Warthog: The Bloody Struggle (Full Sighting)

Image
NancyTheDreamtz

DIAMOND, NANDY & RAYVANNY Washinda TUZO Marekani, ALIKIBA , OMMY DIMPOZ,...

Image
NancyTheDreamtz

Wakulima Wagoma Mbele ya Naibu Waziri kuuza korosho......Wanunuzi Walikuwa Wanatoa 2700 kwa Kilo, Mwaka Jana Kilo Ilikuwa 4000

Image
NancyTheDreamtz Mnada  wa kuuza korosho wilayani Newala na Tandahimba, Mkoa wa Mtwara umevunjika. Ulivunjika jana mbele ya Naibu Waziri wa Kilimo na Umwagiliaji, Omary Mgumba baada ya wakulima kukataa kuuza korosho ghafi katika mnada wa wazi wa kwanza uliofanyika Kijiji cha Makukwe, Wilaya ya Newala. Wakati wa mnada huo kulikuwa na kampuni 15 zilizotuma zabuni za kununua korosho ghafi kwa bei ya juu ya Sh 2,717 kwa kilo moja na bei ya chini ikiwa ni Sh 1,711. Wakati wanunuzi hao wakitaka kununua kwa bei hiyo, msimu uliopita katika mnada wa kwanza, kilo moja ya korosho ilinunuliwa kwa Sh 3,850. Pamoja na hali hiyo, ununuzi wa korosho mwaka huu wanunuzi wanatakiwa kufika wenyewe katika minada wakiwa na barua za zabuni tofauti na misimu iliyopita ambayo walikuwa wakipeleka barua katika vyama vikuu na kusubiri minada. Akizungumza baada ya wakulima kukataa kuuza korosho zao, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gellasius Byakanwa, aliwapongeza na kusema wamefanya uamuzi sahihi k

Mume wa Bi Sandra Akwaa Skendo Nzito

Image
NancyTheDreamtz MUME wa Sanura Kassim ‘Sandra’ ambaye ni mama wa mwanamuziki maarufu Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Maisala Shante ‘Anko’ amekwaa skendo ambayo huenda ikatikisa ndoa yake.  Skendo hiyo inamganda kufuatia gazeti hili kunasa sms tata alizokuwa akizituma kwa mama mmoja mke wa mtu, (jina tunalihifadhi kwa sasa) huku ikishindwa kufahamika ukaribu wao huo unakujaje wakati wote wana watu wao. KUVUJA KWA SMS HIZO Awali chanzo chetu cha kuaminika kilitutonya kuwa, kina meseji zinazomuonesha Anko akichati na mwanamke ambaye ni mke wa mtu ila kikaomba hifadhi ya jina lake kuepuka shari. “Usije ukaniuliza nimezipatapataje na sitaki mnitaje ila nina meseji za yule mume wa mama Diamond akimtumia mke wa mtu,” alidai sosi huyo. Risasi: Wewe umezipatapataje kwani? Sosi: Kuna shosti wangu anajuana na huyo mke wa mtu, sasa sijui kazichukua vipi kwenye simu yake. Mimi nimeona ni stori, au unasemaje? Risasi: Ni stori ndiyo, meseji zenyewe zikoje? Sosi: Wewe niambie mtanilipaje ni

Irene Ataka Kulipwa na Dogo Janja

Image
NancyTheDreamtz Mwanadada Iren Uwoya amefunguka na kusema kuwa ikitokea msanii Dogo Janja akitaka kufanya nae kazi ya kutaka kutikea katika video yake yoyote basi  anaweza kufanya nae kazi hiyo endapo tu ataweza kulipa pesa ambayo  anataka yeye. Dogo Janja na iIrene ambao walikuwa mke na mume  lakini wametengana hivi karibuni  kutokana naskendo za mwanaume huyo kuchepuka na wema sepetu wamekuwa kama maadui kwa sasa huku kila mmoja akikaa kimya kutokuongelea mahusiano yao. Hata hivyo Irene anasema kuwa kikubwa kwake pesa tu ‘niko tayari kuwa video model katima video yoyote ya Dogo janja ilimradi tu  kamaatakuja na dau zuri la kueleweka, kwanini nishinde?” Irene anasisitiza kuwa kwa sasa kila kitu anachokifanya kinachoonekana katika mitandao kuhusu yeye kinasimamamiwa na uongozi wake na wala sio wanaume kama watu wanavyosema.