"Huyu Musiba Anaweza Kuwa Hatari sana kwa Usalama wa Taifa" Nape Nhauye

NancyTheDreamtz

“Huyu Musiba anaweza kuwa hatari sana kwa usalama wa taifa hili ingawa watu wanamchukulia kama mtu aliyechanganyikiwa au anayejipendekeza, ni aibu sana mtu anazusha mambo mazito halafu anaachwa huru wakati wengine wamekamatwa kwa sheria ya mtandao kwa kuandika” Mbunge wa Mtama - Nape Nnauye #KwanzaHabari

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo