"Huyu Musiba Anaweza Kuwa Hatari sana kwa Usalama wa Taifa" Nape Nhauye

NancyTheDreamtz

“Huyu Musiba anaweza kuwa hatari sana kwa usalama wa taifa hili ingawa watu wanamchukulia kama mtu aliyechanganyikiwa au anayejipendekeza, ni aibu sana mtu anazusha mambo mazito halafu anaachwa huru wakati wengine wamekamatwa kwa sheria ya mtandao kwa kuandika” Mbunge wa Mtama - Nape Nnauye #KwanzaHabari

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais