Alichokisema Msanii Harmonize kuhusu kuachana na mpenzi wake, Sarah

NancyTheDreamtz
Msanii Harmonize amefunguka iwapo ni kweli ameachana na mpenzi wake, Sarah.

Harmonize akipiga stori na Wasafi TV amesema hilo si la kweli bali Sarah amesafiri kwenda Italy ndio sababau hawaonekani pamoja kwa sasa.

"Pia amesafiri yupo Italy muda kidogo, so nadhani ndio sababu hatupo pamoja," amesema Harmonize.

Harmonize amekuwa na mahusiano na Sarah kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja na nusu mara baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake, Jackline Wolper.

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo