Video: Sakata la Makontena ya Makonda Le Mutuz Amuomba Msamaha Waziri Mpango

NancyTheDreamtz
Sakata la Makontena ya Makonda Le Mutuz Amuomba Msamaha Waziri Mpango
Mjasiriamali ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, john Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz amesema amemuomba msamaha Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kufuatia kauli yake kuhusu mkontena ya RC Paul Makonda yaliyokamatwa bandarini kwa kushindwa kuyalipia kodi.

Lemutuz amesema kwa uelewa wake alidhani baada ya makontena hayo kukamatwa, samani zote zilizomo ndani zingepelekwa na kugawiwa mashuleni, lakini baada ya Rais Magufuli kufafanu juzi kwamba mwenye mamlaka ya kupokea misaada ni Waziri wa Fedha pekee, hivyo Lemutuz aliielewa sheria, amemuomba msamaha Waziri na kuiachia serikali ifanye maamuzi.

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais