Dr. Slaa Hawezi Kuwa Shujaa Alikimbia Mapambano Kabla Vita Haijaisha

NancyTheDreamtz

" Dr. Slaa hawezi kuwa shujaa kwakuwa alikimbia mapambano, yale aliyofanya wakati yuko kwenye chama cha CHADEMA alipaswa kuyafanya maana alikuwa analipwa na chama na chama kilimhudumia kila kitu hivyo ulikuwa wajibu wake kufanya maana alikuwa analipwa na chama" || Ameyasema hayo Sosopi Mwenyekiti BAVICHA

Comments

Popular posts from this blog

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Hii Hapa Orodha ya Uteuzi Alioufanya Rais Magufuli leo

Jeshi la Uganda lazindua kondomu zenye kibwagizo ‘Usiende nyama kwa nyama’ kuwalinda wanajeshi wake