Dr. Slaa Hawezi Kuwa Shujaa Alikimbia Mapambano Kabla Vita Haijaisha

NancyTheDreamtz

" Dr. Slaa hawezi kuwa shujaa kwakuwa alikimbia mapambano, yale aliyofanya wakati yuko kwenye chama cha CHADEMA alipaswa kuyafanya maana alikuwa analipwa na chama na chama kilimhudumia kila kitu hivyo ulikuwa wajibu wake kufanya maana alikuwa analipwa na chama" || Ameyasema hayo Sosopi Mwenyekiti BAVICHA

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo