Hamisa Mobetto kusimamia Show Miss Tanzania 2018

NancyTheDreamtz
Mwanamitindo Hamisa Mobetto ndiye atasimama kama host wa shindano la Miss Tanzania ambalo litafanyika usiku wa leo September 08, 2018.

Mrembo huyo anachukua nafasi huyo akiwa na uzoefu wa kutosha na mashindano kama hayo kwa kuwa ameshashiriki hadi Miss Univeristy Afrika.

Utakumbuka mwaka 2010 alitwaa taji la Miss XXL, After School Bash, mwaka uliofuata Hamisa alishiriki mashindano ya Miss Dar Indian Ocean na kushika nafasi ya pili, pia aliwahi kufanikiwa kuingia nusu fainali ya Miss Tanzania. 

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais