Flavian Matata Akutana na Nick Minaj Baada ya Kumpamba Kucha
NancyTheDreamtz

Baada ya Kupata Deal ya Kupamba Kucha za One of the Best female Rapper Kutokea Pande za Marekani @nickiminaj , Mwanamitindo Maarufu @flavianamatata amekutana nae na Kupata Picha ya Pamoja kwenye Tukio la Utolewaji wa Tuzo za #FMAS2018
August 21 Mwaka Huu, Flaviana Kupitia Account yake ya Twitter aliandika kuwa #NickiMinaj alitumia Product za Lavy Namba 29, wakati wa kupiga picha zilizotumika kwenye Jarida la Fashion la @voguearabia la Mwezi September Mwaka Huu
Baada ya Kupata Deal ya Kupamba Kucha za One of the Best female Rapper Kutokea Pande za Marekani @nickiminaj , Mwanamitindo Maarufu @flavianamatata amekutana nae na Kupata Picha ya Pamoja kwenye Tukio la Utolewaji wa Tuzo za #FMAS2018
August 21 Mwaka Huu, Flaviana Kupitia Account yake ya Twitter aliandika kuwa #NickiMinaj alitumia Product za Lavy Namba 29, wakati wa kupiga picha zilizotumika kwenye Jarida la Fashion la @voguearabia la Mwezi September Mwaka Huu
Comments