Yanga Yachangiwa Zaidi ya Milioni 3 na Wadau Wake kwaajjili ya Kuchangia Timu

Yanga Yachangiwa Zaidi ya Milioni 3 na Wadau Wake kwaajjili ya Kuchangia Timu
Uongozi wa Yanga umeweka hadharani kiasi cha fedha ilichopokea kutoka kwa wadau wake ambazo ni za mchango kwa ajili ya kuisaidia klabu.

Hivi karibuni Yanga kupitia Kaimu Katibu wake, Omary Kaaya, alitangaza kuanzisha utataribu wa kuichangia klabu ili iweze kuendesha shuguli zake muhimu kutokana na kupitia kipindi cha mpito.

Katika siku nane za mwanzo kuanzia Agosti 2 mpaka 10, Yanga imepokea kiasi cha shilingi za kitanzania 3,073,263. 

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais