Harmonize na Dully Sykes Kimewaka Tena....


Achana na Utengenezaji wa Video ambayo jana alitangaza kuwa leo wanaenda kuitengeneza @harmonize_tz pamoja na Star wa RnB kwenye Game ya Bongo Fleva @iambenpol au ujumbe wake kuhusu kufanya kazi na One of the best Hip Hop Icon @professorjaytz

Hii ni Nyingine tena ambayo Star kutoka label ya WCB @harmonize_tz ataitoa katika list ya Track ambazo ameshazirekodi mpaka sasa na wakati huu amefanya na @princedullysykes

Kupitia Page yake ya instagram Harmonize amepost na kuandika kuwa  Ngoma na Nusu....!!! Trust me @princedullysykes thanks for another opportunity #KingDully - ikiwa ni mara nyingine tena anapata nafasi hiyo na anashukuru kwa kupata nafasi hii tena ya kufanya kazi pamoja na Dully Sykes

Comments

Popular posts from this blog

Siri Yafichuka, Prince Dube Anakwenda Yanga Kuziba Nafasi ya Fiston Mayele

Top Ten ya Makabila Yaliyotoa Wasomi Wengi Nchini Tanzania

Jacqueline Wolper Atamani Kutoka Kimapenzi na Rais