Kama wazazi wanagombana bila kuwaza Mtoto atalelewa katika Maisha gani kwakukopi alichokiona kwa Baba na Mama ni shida

Kijana aliyeachiwa Mtoto na Mkewe kwakupenda michepuko huyu jamaa anajuta sana kwani alimpenda mkewe ila hakuwa na jinsi mke kajali mchepuko kuliko mmewe wa ndoa

Comments

Popular posts from this blog

Waziri Lugola Awaondoa Madarakani Maafisa Wa NIDA Mkoa Wa Ruvuma

UCHAGUZI KENYA: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan, McDonald Mariga kutoana jasho na Prezzo